Werawera Arusha-Wing! safari ya kufunga mwaka hii hapa!

Werawera Arusha-Wing! safari ya kufunga mwaka hii hapa!

Mkuu PakaJimmy itapendeza sana kama tutakutana na mamembers wa kutoka chumvini (dar), lakini tuhakikishe tunaimarisha ulinzi wa kutosha kwa warembo wetu Preta, Blaki Womani, Lily Flower, sweetlady, marejesho na wengine kutoka Arusha, manake bana hawa jamaa wa kule hawaaminiki kabisa, ukizingatia akina Bishanga, Ruttashobolwa, Chilli wakiongozwa na mkaguzi babu Asprin.

Erickb52, Arushaone, Filipo, Mr Rocky na mlokole Mzee wa Rula tuhakikishe tunachafua hali ya hewa kwa warembo akina Madame B, charminglady, FirstLady na wengine bila kuogopa kwenda selo, bali tuhakikishe tumeacha mbegu kwa hawa jamaa...................................... kwa pamoja tunaweza
daaah kuna usalama kweli?
huogopi kuwekwa sero tena?
mkuu PakaJimmy njoo mwenyewe uone kitu mwanafunzi wako kaandika hapa
 
Last edited by a moderator:
daaah kuna usalama kweli?
huogopi kuwekwa sero tena?
mkuu PakaJimmy njoo mwenyewe uone kitu mwanafunzi wako kaandika hapa

hah hah hah hah hah! Usiogope! Anatania tu!
 
Last edited by a moderator:
hah hah hah hah hah! Usiogope! Anatania tu!
huyu Mungi naona sero inamnyemelea tena sio bure
hata ile sero aliwekwa nadhani aliacha mbegu mahali labda
 
Last edited by a moderator:
daaah kuna usalama kweli?
huogopi kuwekwa sero tena?
mkuu PakaJimmy njoo mwenyewe uone kitu mwanafunzi wako kaandika hapa
Achana na huyo mtoto wa shule...shida ya huyo anaandika post akiwa amelaza konyagi mezani, ndiyo maana dakika yoyote anaswekwa sero.
 
Achana na huyo mtoto wa shule...shida ya huyo anaandika post akiwa amelaza konyagi mezani, ndiyo maana dakika yoyote anaswekwa sero.
hii sio nguvu ya kiroba tu nadhani...
 
daaah kuna usalama kweli?
huogopi kuwekwa sero tena?
mkuu PakaJimmy njoo mwenyewe uone kitu mwanafunzi wako kaandika hapa

Hahaaaaaaaaaaaaa na we Smile na mauoga yako bana.................. tumesema tutaimarisha usalama kwa warembo wetu, halafu kule tunaharibu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom