Werawera Arusha-Wing! safari ya kufunga mwaka hii hapa!

Werawera Arusha-Wing! safari ya kufunga mwaka hii hapa!

Kumbe ushajikatiaga tamaa?
Unamkimbia DOWEZI marejesho na kuihama nyumba yenu na Filipo?....hii ni thread iliyoshiba kabisa!

PakaJimmy ntake radhi !!Hivyo nimeshindwa kupata usingizi kwa ajili ya hili tusi!!!
Mume wangu Filipo ni nini hiki mpaka mashemeji wananitukana?
Keleuwiiiiiiiiiiiiiiii,nawaamsha majirani wote!!!
 
Last edited by a moderator:
PakaJimmy ntake radhi !!Hivyo nimeshindwa kupata usingizi kwa ajili ya hili tusi!!!
Mume wangu Filipo ni nini hiki mpaka mashemeji wananitukana?
Keleuwiiiiiiiiiiiiiiii,nawaamsha majirani wote!!!
mmh kumbe Filipo mumeo? mbona aliniambia hajaoa anataka tuonane xmas nile kwake?
 
Last edited by a moderator:
PakaJimmy ntake radhi !!Hivyo nimeshindwa kupata usingizi kwa ajili ya hili tusi!!!
Mume wangu Filipo ni nini hiki mpaka mashemeji wananitukana?
Keleuwiiiiiiiiiiiiiiii,nawaamsha majirani wote!!!

Nimemwambia arudie kusoma keafuli alafu afanye masahihisho na kukutaka radhi kabla hatujafanya uchaguzi wa m/kiti. Azawaizi namkamata huyo PakaJimmy, nakatakata, halafu tatupia mbwa!
 
Last edited by a moderator:
ngoja niifoward kwa marejesho

weeeeh! Embu ngoja kwanza...! Umekuja kuweje wewe? Taratibu mama. Vitu vingine ukiambiwa unavimeza hivyo hivyo. Ukianza kutapika hapa mbona utachafua hali ya hewa?
 
Last edited by a moderator:
weeeeh! Embu ngoja kwanza...! Umekuja kuweje wewe? Taratibu mama. Vitu vingine ukiambiwa unavimeza hivyo hivyo. Ukianza kutapika hapa mbona utachafua hali ya hewa?
Tayari nishamtumia marejesho ndo anazipitia nimtumie na ile pm ya jana ?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom