Weraweraaaaaa!

Weraweraaaaaa!

Good boy

Member
Joined
May 20, 2011
Posts
42
Reaction score
2
Nimeamua kutatafuta mchuchu mzuri, ila awe anatokea mwanza, pls kama yupo kwenye jf itakua pouwaa wadau! Msiponde sasa cause am serious jamani. Age kuanzia 18 hadi 30.
 
Naona kama umekosea jukwaa mkuu! Ungeenda kwenye love connect ungepata faster au vip?
 
Umepotea mkuu!
Subiri husninyo atapitia hapa.umemuona michelle na lizy?
 
Haupo serious wewe, yaaani thread ipo ki comedy comedy halafu haina kichwa wala miguu inafikiri utapata mtu kweli wewe, labda awe na kawehu kidogo. Jifunze kuwakilisha hisia zako ili ueleweke vinginevyo utaishia kupiga puchu, tehe tehe tehe.
 
Wote mnaotafuta mumeboa.
Kwa maelezo zaidi bonyeza pale palipoandikwa Love Connect.
 
Hiyo title tu kwanza inaonyesha bado hujaanza kunyoa m***** hebu subir ukue kwanza hivi MOD hizi registration ingekuwa na age limit watoto wengi mno humu mpaka tunapoteza interest
 
Back
Top Bottom