Daah leo umeniangusha mamy.Google Wikipedia jina la Wes Moore, kwa leo niko busy
Tumeambiwa siku hizi pesa haitafutwi tena pesa siku hizi inategwa kwenye tofali la sumaku, sasa sijui itakuaje
Hii kauli ya tafuteni pesa kwangu naonaga ni aina flani ya upuuzi tu.Tumeambiwa siku hizi pesa haitafutwi tena pesa siku hizi inategwa kwenye tofali la sumaku, sasa sijui itakuaje
Kweli mkuu, leo ndio tumeambiwa hivyo nani kawaambia pesa inatafutwa siku hizi pesa inategwa km chambo kwa Samaki,Hii kauli ya tafuteni pesa kwangu naonaga ni aina flani ya upuuzi tu.
Hakuna asiyetafuta pesa na si kila anayetafuta pesa anataka awe maarifu au mtu mwenye cheo flani
Kibabu kilitega pesa kwenye soko la hisa sasa kinakula mafao,Huoni kibabu kuna mke mbichi kabisa na kibabu bado kina waka.
Yaan ndio majina yake mawili anaitwa hivyo?Oprah Maryland
Okay hapo sasa nmekuelewa maana uliunganisha majina hayo km ubini wa Oprah ni Maryland kumbe ni mjini MarylandNilimaanisha alimkaribisha Oprah mjini Maryland
🤣🤣🤣🤣🤣Huoni kibabu kuna mke mbichi kabisa na kibabu bado kina waka.
Wewe unaonaje?Unamaana Melanie Trump alifuata mapenzi ya kweli pale?
Ukumbuke ni mwalimu wake.Kile kibibi Macron ni kigagula kile 😂
Ukumbuke ni mwalimu wake.
Wenzetu kwao mapenzi sio miaka wanasema miaka ni namba.
Huku kwetu ni pesa.
Ukiwa na pesa unamuoa miss yoyote hata ukiwa huna meno yaani mzee