West Ham club ndogo ina uwanja mkali kuliko wa Tanzania

Tuandae AFCON na serikali ijenge viwanja. Baada ya mashindano, serikali iingie makubaliano na vilabu ili vimiliki na kuendesha viwanja hivyo
 
Hawajapewa na FA bali wamepewa na jiji la London
 
Hapana sisi ni "donor country" hahahahh
 
Asante sana,shida ya tz hata wazo la kuandaa Afcon kwa kina mama halipo...naskia eti ile ya U17 walipewa tu na CAF
Tuandae AFCON na serikali ijenge viwanja. Baada ya mashindano, serikali iingie makubaliano na vilabu ili vimiliki na kuendesha viwanja hivyo
 
Asante sana,shida ya tz hata wazo la kuandaa Afcon kwa kina mama halipo...naskia eti ile ya U17 walipewa tu na CAF
Nchi zote AFCON huleta maendeleo ya miundombinu ya viwanja vya mpira mechi na mazoezi, viwanja vya ndege na barabara kiasi fulani. Ni kazi ya serikali kufanya hayo.
 
Kweli kabisa ukizingatia pia ni kuongeza ajira kwa vijana na hata mapato kutokana na uandalizi wa michuano mbalimbali
Nchi zote AFCON huleta maendeleo ya miundombinu ya viwanja vya mpira mechi na mazoezi, viwanja vya ndege na barabara kiasi fulani. Ni kazi ya serikali kufanya hayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…