WESTGATE MASSACRE: 41 YEARS KENYA's STILL BEHIND


hivi walishindwa nini kuzima umeme usiku na kuiacha Mall iwe giza ili waingie na silaha huku wakiwa wamevaa night vision goggles au heat vision goggles

huku waki
move, five meter spread, no sound. double pack, heads up

U are exactly on my shoes.!!!!!!!!!
 

sisi ndo itakuwa balaa maana unaweza ambiwa magari hayana mafuta au mpaka tupitishe michango kwanza
 
Kova anapenda sana kuuza nyago ktk tv siombei lakini nyie subirini.
Vijana wake anaowasifia wanapenda bia na viroba kuliko kitu chochote wakati hii shuhuli ikitokea unatakiwa ujikane uangalie maisha ya watu wengine akiwa salama!
 
Kova anapenda sana kuuza nyago ktk tv siombei lakini nyie subirini.
Vijana wake anaowasifia wanapenda bia na viroba kuliko kitu chochote wakati hii shuhuli ikitokea unatakiwa ujikane uangalie maisha ya watu wengine akiwa salama!

Hahahaaaa eti wanapenda Viroba inawezekana wanafuata nyayo za bosi wao Kova akiongea ukimwangalia vizuri machoni unaweza hisi kabisa ni viroba ndo vinaongea mzee wa Media yule 2015 lazima agombee ubunge
 

Its sad kwa kweli magaidi walishafanya yao zamani wao hata kuingia wanaogopa wanaishia kusema eti magaidi wamejificha kwenye CINEMAS! what a shame
 
Kova anapenda sana kuuza nyago ktk tv siombei lakini nyie subirini.
Vijana wake anaowasifia wanapenda bia na viroba kuliko kitu chochote wakati hii shuhuli ikitokea unatakiwa ujikane uangalie maisha ya watu wengine akiwa salama!

Nasikia kova huwa ananunua mapanga kariakoo anaita media ije anapiga picha tumekamata majambia 50
 
...meya wa jiji la nairobi alipewa taarifa hizi na mmama mmoja siku kadhaa nyuma kuwapo kwa ulipuwaji wa malls kadhaa (maana mtoa taarifa hakujua ni mall ipi)....! ..meya naye alijaribu mara nyingi kuripoti hizi habari kwa sehemu husika...lakini wapi...alipuuziwa tu!

kuna wakati huwa sielewagi hivi vyombo vya usalama huwa vinataka taarifa zipi au kutoka kwa nani ili wazifanyie kazi! kama mnakumbuka ulipuwaji wa balozi za usa nchini tz na kenya...taarifa za awali zilikuwapo..... mfano mtu aliekuja na taxi akawa anarekodi jengo la ubalozi wa usa siku chache kabla ya huo mlipuko....nk!

hapa kwetu tunajua woote, namna gani wasomali wanaingia nchini....na sio siri kuwa, makao yao makuu ni wailaya ya temeke ijapo sasa wameanza kuenea sehemu mbalimbali nchini!...kule temeke kuna nyumba moja niliona wasomali (wamefungiwa hawajui kiswahili hata kidgo) wapo kama 30 hivi....nadhani walikuwa transit pengine....taarifa zikaripotiwa......!
 
bwana Mossad sikuona Snipers waki pinpoint targets
vip inawezekana katika mission kama hizi kusiwe na snipers??

Lazima wawepo.. lakini inapokua siege km ile yenye magaidi wengi katika sorrounding iliyojificha bas snipers wanakua of less priority kinacho fikiriwa sana ni ambush tu km alivyosema CTU! Ukishakua na magaid weng sio preferable kutumia snipers cz hata wao wanajua watakua targeted so hawatatulia sehemu moja na ukimpiga mmoja unawaweka mateka rehani.
 
It was this dude sir mimi nilifikiri ni Polisi kumbe raia tu kajitolea na bastola yake na kaokoa watu wengi tu kuliko hata hao KDF wenyewe


Na hii hapo juu ni weakness nyingine inamaanisha Al Shaabab wangeweza kuingia pale ndani tena na kuua zaidi.

Au imagine huyo jamaa angekuwa Al Shaabab

Inamaana hakukuwa na control ya movements wao walibobea kwenye kupiga picha na CNN tu.

Ndio matatizo ya kuchagua wakuu wa usalama kwa kutumia TV eti mkuu polisi anafanyiwa interview!
 
Jamaa kaelezea vizuri
Nilipoangalia hiyo case ya Kenya nilijikuta naishiwa pozi. Jamaa s ijui ni ujinga au maana aina ya silaha, movements zao, na hata mbinu zilikuwa very poor.
Jeshi la Kenya bado sana
 
Mkuu mossad007 heshima mbele kwa uchambuzi mzuri ILA naomba nitofautiane na wewe katika haya

-1. Katika ile assault zilishiriki unit mbalimbali za ulinzi Kenya. Maroon Commandos walikua ni sehemu tu, kulikua na jamaa wa 20 Parachute Battalion,30 Special Forces (30SF) na 40 Rangers Strike Force (RSF) na unaposema kuwa walikua na M16 si kweli. kenya Rangers standard issue ndio M16 ila pale tumeoshuhudia mpaka SCAR wakiwa nazo jamaa wa 30regiment.

-2.Kwa mtazamo wangu ni kuwa tatizo kubwa la hii disaster ni kukosekana clear command na coordination which implies lack of training. Hilo tu ndio tatizo la waKenya na sio kuhusu tools. Katika vifaa tu they are verry well kitted, pengine kuliko operators wowote Kusini mwa Sahara.
 
Last edited by a moderator:

Gobore umesema vzur kuhusu inclusion ya unit nyingne ingawa hao hawakua focus yangu na nilifahamu uwepo wao na sio hao tu uliowataja walikuwepo mpka GRU para military police, NIS, etc. tho kama utakua na uelewa mzuri SCAR rifle ni dizaini ile ile ya family kama za Kalashinikov, M16, na nyingnezo wala huwez kuiweka kwenye group la Mini Assault hivyo Manurvebility yake bado sio rahisi wala nyepesi ukicompare na kitu kama MP5.. Na binafsi sikusema kua kenya hawana vifaa kama utakua umefocus vzur mchango wangu ulikua kwenye tactics to be employed cz kama ni issue ya vifaa basi Ujerumani wanavyo vya kisasa na first class zaidi ila walichemka kwenye tactics in Munich Siege 1972.. My focus kwenye Maroon ndio ilikua basis cz ndio nilioshuhudia kwenye televishen wakiwa na M16 na pia hawa ndio the Most Kenya's Elite Force Unit over the entire State forces kuanzia mafunzo, treatment na hata payment sasa kama wao ndio first class VIP's any fault kama hiyo lazima wadau km mimi na wengineo tuitolee macho.
Kwa mchango wako wa pili naungana na ww 100%..
 
Last edited by a moderator:
Kenya always tunawaambia wako well equipped but with very poor training.
Pamoja na madhaifu yetu lakini issue serious kama ile tungewashughulikia hadi wasifikirie tena kujaribu.
 

Ndio maana naipenda sana jf! Ahsante sana mkuu umetupa vitu adimu sana hivi, nashauri jwtz,polisi, na inteligencia yetu ikupe ushirikiano uweze kuwapa mafunzo haraka sana kwa sababu hawa jamaa wameshatangaza tz we are next
 
Ndio maana naipenda sana jf! Ahsante sana mkuu umetupa vitu adimu sana hivi, nashauri jwtz,polisi, na inteligencia yetu ikupe ushirikiano uweze kuwapa mafunzo haraka sana kwa sababu hawa jamaa wameshatangaza tz we are next

Hata mimi aisee nimepata vitu vizito kwenye hii thread.. na katika hili hata kuna msemaji wa alshabaaab alisema kuwa majeshi ya kenya ni DHAIFU
 
Nime enjoy sana kusoma hii thread. Nilihisi naangalia 24 series. Nimejifunza mnoo.
 
It was this dude sir mimi nilifikiri ni Polisi kumbe raia tu kajitolea na bastola yake na kaokoa watu wengi tu kuliko hata hao KDF wenyewe


Kuna video anaonekana yupo na polisi kwenye kona ya korido,the way alivyokuwa akim-cover askari na movement kati yake na polisi anaonekana ana mafunzo.
huyu ni NIS,offcoz kajisema raia wa kawaida sababu mashushushu hawajitangazi.

Back to Topic:nilishuhudia kupitia BBC, kdf wawili wakiwa floor ya juu wakikimbia then wakarusha kama grunet ghorofa ya chini,wakalala,bomu likalipuka.nilipatwa na wasiwasi walichofanya unless walikua wakifanya clearance

unajua kati ya KDF walokufa wawili were very juniors mmoja akiwa ametoka vitani somalia na mwingine ndio alikuwa amepangwa kwenda Somalia.KENYA FORCES hawakuzamisha makomandoo mle ndani!ni kama walikuwa na mashaka na walikua wakijaribu tu
 
Ndio maana naipenda sana jf! Ahsante sana mkuu umetupa vitu adimu sana hivi, nashauri jwtz,polisi, na inteligencia yetu ikupe ushirikiano uweze kuwapa mafunzo haraka sana kwa sababu hawa jamaa wameshatangaza tz we are next

Unachekesha huyu mwanzisha mada kafundishwa na hao unaotaka awafundishe!!
Unaijua nchi yako vizuri? uliza makaburu,wareno na vibaraka wao wakwambie!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…