Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,551
- 2,153
bonge la analysis,ila hata TZ ikitokea watafanya uzembe kama wa KDF,zile silaha za kule Goma nahisi ni za MONUSCO.KDF ovyo sana,yaani wakenya hamna kitu kabisa zaidi ya kujifanya wako civilized.
hiyo haikuwa chaguo zuri kwani kulikuwa raia na mateka kwenye je.ngo!!
hivi walishindwa nini kuzima umeme usiku na kuiacha Mall iwe giza ili waingie na silaha huku wakiwa wamevaa night vision goggles au heat vision goggles
huku waki move, five meter spread, no sound. double pack, heads up