WESTGATE MASSACRE: 41 YEARS KENYA's STILL BEHIND

WESTGATE MASSACRE: 41 YEARS KENYA's STILL BEHIND

...meya wa jiji la nairobi alipewa taarifa hizi na mmama mmoja siku kadhaa nyuma kuwapo kwa ulipuwaji wa malls kadhaa (maana mtoa taarifa hakujua ni mall ipi)....! ..meya naye alijaribu mara nyingi kuripoti hizi habari kwa sehemu husika...lakini wapi...alipuuziwa tu!

kuna wakati huwa sielewagi hivi vyombo vya usalama huwa vinataka taarifa zipi au kutoka kwa nani ili wazifanyie kazi! kama mnakumbuka ulipuwaji wa balozi za usa nchini tz na kenya...taarifa za awali zilikuwapo..... mfano mtu aliekuja na taxi akawa anarekodi jengo la ubalozi wa usa siku chache kabla ya huo mlipuko....nk!

hapa kwetu tunajua woote, namna gani wasomali wanaingia nchini....na sio siri kuwa, makao yao makuu ni wailaya ya temeke ijapo sasa wameanza kuenea sehemu mbalimbali nchini!...kule temeke kuna nyumba moja niliona wasomali (wamefungiwa hawajui kiswahili hata kidgo) wapo kama 30 hivi....nadhani walikuwa transit pengine....taarifa zikaripotiwa......!

Mkuu usisahau hata Sept 11 Israel iliwaonya Marekani kuhusu hilo tukio na ndio maana kwenye twin towers kulikuwa na waisrael zaidi ya 3000 wanaofanya kazi mule lakini siku ya tukio hamna hata mmoja aliyeenda wote walikatazwa na serikali yao na ndo maana huwa kunaibuka conspiracy theories nyingi sana juu ya Sept 11 kwa vile CIA na FBI walishapewa onyo lakini unaweza kuta nao walipuuzia tu
 
Kuna video anaonekana yupo na polisi kwenye kona ya korido,the way alivyokuwa akim-cover askari na movement kati yake na polisi anaonekana ana mafunzo.
huyu ni NIS,offcoz kajisema raia wa kawaida sababu mashushushu hawajitangazi.

Back to Topic:nilishuhudia kupitia BBC, kdf wawili wakiwa floor ya juu wakikimbia then wakarusha kama grunet ghorofa ya chini,wakalala,bomu likalipuka.nilipatwa na wasiwasi walichofanya unless walikua wakifanya clearance

unajua kati ya KDF walokufa wawili were very juniors mmoja akiwa ametoka vitani somalia na mwingine ndio alikuwa amepangwa kwenda Somalia.KENYA FORCES hawakuzamisha makomandoo mle ndani!ni kama walikuwa na mashaka na walikua wakijaribu tu

Mkuu huyu jamaa sio undercover ni mtoto wa Seneta wa Garisa na anajulikana aliohojiwa na vyombo vya habari na akasema kaka yake alikuwemo kwenye jengo na ndo alimtumia text ya kuwa kuna magaidi so alienda kwa lengo la kumuokoa kaka yake lakini akakuta kaka yake ameshatoka so akaanza kusaidia uokoaji na wala sio undercover kama unavyofikiria hao mbona walikuwa wanaonekana wengi tu wakiwa wamevaa kiraia?
 
Nilidhani baada ya Miaka takribani 41 since makosa yaliyofanyika baada ya matokeo ya Ugaidi kule Munich 1972 kwenye Winter Olympic Games Kenya watakua wamejifunza namna ya kukabiliana na ugaidi lakini wenzetu bado sana.

Kuna vipengele vichache ambavyo Ujerumani ilivikosea na kusababisha Wanariadha 11 wa Kiisrael kupoteza maisha na leo nashuhudia Kenya wakirudia kitu kile kile.

1. Role of Media Coverage

Kutokana na kukua kwa Uhuru wa Habari kwa wenzetu ( Europe ) baada tu Kikundi cha Black September kuwateka wanamichezo wa kiisrael media zilifurika nje ya Apartment waliyotekwa na kuanza kuripoti mwenendo mzima wa tukio. Ndani ya zile apartment kulikua na tv ambazo wale magaidi walikua wanaona na kufuatilia kila kitu. Matokeo yake Rescue Mission ya kwanza iliyopangwa na Polisi (hawakua na counter terrorism unit kipindi hicho) ikawa inapigwa picha live na wale magaidi wanona ni nini kinaendelea.

Ilikuwa kichekesho sababu magaidi waliweza kujua polisi wako wapi na wanafanya nini kwa kupitia tv zao ndani. Mission was aborted baada ya polisi kuona asilimia za ushindi kua chache. Leo wakenya wanafanya kitu kile kile updates zote ziko on air na kwa mujibu wa mashuhuda westgate complex ina dozens of tv sets ni km pale Mliman city tu unapoingia Game!

2. Rescue Team

Kikosi kilichopelekwa kufanya Rescue kinatoka KDF: Maroon Commandos (counter terrorism Unit) ukisoma Article moja online ya hawa jamaa wamesifiwa sana kua ni total replica ya their counterparts the likes of Sayeret Matkal (israel), NAVY SEALS (USA) and SAS (UK) cz huko ndiko wanako watrain. Lakini honestly speaking hawa jamaa wako nyuma kuliko ilivyosemwa cz kwa mission km hizi choice of weapons ina matter sana.

Counter terrorism zote ndani ya majengo au vehicles including ndege hufanywa kwa priority ya Mini Assault Rifles refer operation Entebe, Spring of Youth, Air Sabena (Sayeret Matkal), Operation Barras, Iran Embassy Siege (SAS) na Operation Bin Laden, (SEALS). Mini assault rifles hapa nazungumzia the likes of Heckler and Kotch, Uzi, Mini Galil, AK-74 folding etc. Ambazo ni ndogo, fupi, hubebeka kirahisi na zina range ile ile ya Weapons za kawaida hutumika pia na Makomandoo wa JWTZ km ilivyoonekana juzi Goma na kipindi cha miaka 50 ya Uhuru pale Taifa.

Lakini nimeshangaa kuwaona KDF: Maroon Commandos wakiwa wamebeba mitutu mirefu, mizito ya M 16 na zile Ranger Rifles za kiingereza tena za kizamani kwenye mission inayowalazimu wepesi na tacktics... its so absurd. Moja kati ya vitu vilivyotolewa duku duku na kamati maalum iliyoundwa after failure in Munich Massacre ilikua ni choice of weapons baada ya Polisi wa kijerumani kutumia Rifles kubwa zinazo punguza Manurvability and accuracy na kuundwa kwa special counter terror unit.

Kwa waliopitia mafunzo watakubaliana na mimi kua Counter Terror Rescue Mission ni zaid ya Uwanja wa Vita cz huokoi maisha yako tu bali na ya mateka na mali. Hivyo SPEED, ACCURACY and TIME are key elements. Ukimkosa gaidi kwa risasi moja analipua jengo zima ni matter of seconds tu ila vitani unaweza ukamimina ile Minimi mpka mkanda ukaisha na bado usiue mtu ukawa hai na wala wewe usife mkatupiana njugu mwezi mzima lakini hii sio sawa kbsa kwenye Rescue Missions ndio maana Choice ya Weapon hata mtu wa kuifanya hiyo kazi inamata sana... nilidhani leo wakenya watakua wamejifunza.

Mwisho kwa yaliyotokea Kenya hata TZ yaweza tokea hivyo tuwe makini na Siasa zetu za Kimataifa na kuboresha Ulinzi katika nyanja zote.

POLE ZANGU KWA WAHANGA!

mmoja wa wapiganaji wa kupigana na ugaidi niliona on the news anaingia in the mall kuokoa watu with an RPG in hand. I mean really, mission kama hii mnaenda na Rocket Propelled Grenades, I'm no expert ila that was one heavy weapon for the mission. Pia rescue teams zilikua zinafika eneo la tukio, on foot. I kinda expected more from Kenya. Ila conglats for all they did and the lives the saved in the end.
 
Unachekesha huyu mwanzisha mada kafundishwa na hao unaotaka awafundishe!!
Unaijua nchi yako vizuri? uliza makaburu,wareno na vibaraka wao wakwambie!!

Mkuu wakati nasoma post zako nimejikuta nafarijika

Nimefarijika kwakuwa angalau nimeona mtu mzalendo na mwenye mawazo chanya na nchi yake tofauti na wengi
Kuna jambo kubwa sana nimeligundua,wengi wa Watz hatuna uzalendo kabisa,wengine hata jeshi letu hatulijui lakini tunaliponda tu

Isasikitisha sana!
 
Mkuu usisahau hata Sept 11 Israel iliwaonya Marekani kuhusu hilo tukio na ndio maana kwenye twin towers kulikuwa na waisrael zaidi ya 3000 wanaofanya kazi mule lakini siku ya tukio hamna hata mmoja aliyeenda wote walikatazwa na serikali yao na ndo maana huwa kunaibuka conspiracy theories nyingi sana juu ya Sept 11 kwa vile CIA na FBI walishapewa onyo lakini unaweza kuta nao walipuuzia tu

On addition to sept 11 issue,
Daniel lewin Mmarekani-Muisrael, mfanyabiashara wa mtandao wa internet na komandoo wa zamani wa Israel (Most elite Israel Counter Terrorism Unit, Sayeret Matkal?) alikuwa mmoja wa abiria (A coincidence?) kwenye ndege ya kwanza iliyotekwa na kwenda kubamizwa WTC!
Dakika 16 baada ya ndege kupaa na kutekwa na watekaji wapatao watano Lewin anausoma mchezo (?) na kutaka kupambana na watekaji hao, bahati mbaya kwamba hakuweza kuwanote watekaji wote na hivo anakabwa na gaidi mwingine aliyekuwa kakaa siti ya nyuma yake na kumuua, Lewin anakuwa mtu kwanza wa kufa katika tukio hilo la Sept 11!
 
Ni kweli mkuu. Chunguza kwenye picha yake moja huyu raia Abdul yuko na pistol ki action zaidi akimuelekeza mama wa kizungu jambo la kufanya,lakini pembeni yake yuko askari wa Kenya akiwa na bunduki kubwa kaishika kizembe kabisa eti nae anasikiliza maelezo toka kwa Abdul!
Kwanza uliona kumbe kuna raia tu wa kawaida aliejitolea na kuweza okoa watu?

hii inathibitisha jinsi gani hata security ilivyokuwa loose
yaani mtu tu katoka nyumbani kaamua kwenda kumsaidia kaka yake mule
huku polisi na hilo jeshi wanajishauri cha kufanya
hili jeshi la Kenya way hopeless....kuliko nilivyozania..
 
Ni kweli mkuu. Chunguza kwenye picha yake moja huyu raia Abdul yuko na pistol ki action zaidi akimuelekeza mama wa kizungu jambo la kufanya,lakini pembeni yake yuko askari wa Kenya akiwa na bunduki kubwa kaishika kizembe kabisa eti nae anasikiliza maelezo toka kwa Abdul!

Hahahaa yaani askari anapokea maelezo toka kwa raia that's so funny inabidi bwana Abdul aajiriwe na jeshi la polisi na apewe cheo kikubwa tu
 
Hahahaa yaani askari anapokea maelezo toka kwa raia that's so funny inabidi bwana Abdul aajiriwe na jeshi la polisi na apewe cheo kikubwa tu
Ha ha ha! Nami niliona bora Abdul apewe cheo jeshini awe anawaelekeza askari mbinu mbalimbali.
 
its shocking how they made life of the hostages expendables by just blowing the building to kill both terrorist and hostages to end the siege!!! the biggest failure was the delay when transferring command from police to army which allowed al shabab to take good defensive position by positioning snipers and 2 high caliber machine gun that pinned the army firmly into their positions forever until the decision to blow the mall was made!!!
 
Nilidhani baada ya Miaka takribani 41 since makosa yaliyofanyika baada ya matokeo ya Ugaidi kule Munich 1972 kwenye Winter Olympic Games Kenya watakua wamejifunza namna ya kukabiliana na ugaidi lakini wenzetu bado sana.

Kuna vipengele vichache ambavyo Ujerumani ilivikosea na kusababisha Wanariadha 11 wa Kiisrael kupoteza maisha na leo nashuhudia Kenya wakirudia kitu kile kile.

1. Role of Media Coverage

Kutokana na kukua kwa Uhuru wa Habari kwa wenzetu ( Europe ) baada tu Kikundi cha Black September kuwateka wanamichezo wa kiisrael media zilifurika nje ya Apartment waliyotekwa na kuanza kuripoti mwenendo mzima wa tukio. Ndani ya zile apartment kulikua na tv ambazo wale magaidi walikua wanaona na kufuatilia kila kitu. Matokeo yake Rescue Mission ya kwanza iliyopangwa na Polisi (hawakua na counter terrorism unit kipindi hicho) ikawa inapigwa picha live na wale magaidi wanona ni nini kinaendelea.

Ilikuwa kichekesho sababu magaidi waliweza kujua polisi wako wapi na wanafanya nini kwa kupitia tv zao ndani. Mission was aborted baada ya polisi kuona asilimia za ushindi kua chache. Leo wakenya wanafanya kitu kile kile updates zote ziko on air na kwa mujibu wa mashuhuda westgate complex ina dozens of tv sets ni km pale Mliman city tu unapoingia Game!

2. Rescue Team

Kikosi kilichopelekwa kufanya Rescue kinatoka KDF: Maroon Commandos (counter terrorism Unit) ukisoma Article moja online ya hawa jamaa wamesifiwa sana kua ni total replica ya their counterparts the likes of Sayeret Matkal (israel), NAVY SEALS (USA) and SAS (UK) cz huko ndiko wanako watrain. Lakini honestly speaking hawa jamaa wako nyuma kuliko ilivyosemwa cz kwa mission km hizi choice of weapons ina matter sana.

Counter terrorism zote ndani ya majengo au vehicles including ndege hufanywa kwa priority ya Mini Assault Rifles refer operation Entebe, Spring of Youth, Air Sabena (Sayeret Matkal), Operation Barras, Iran Embassy Siege (SAS) na Operation Bin Laden, (SEALS). Mini assault rifles hapa nazungumzia the likes of Heckler and Kotch, Uzi, Mini Galil, AK-74 folding etc. Ambazo ni ndogo, fupi, hubebeka kirahisi na zina range ile ile ya Weapons za kawaida hutumika pia na Makomandoo wa JWTZ km ilivyoonekana juzi Goma na kipindi cha miaka 50 ya Uhuru pale Taifa.

Lakini nimeshangaa kuwaona KDF: Maroon Commandos wakiwa wamebeba mitutu mirefu, mizito ya M 16 na zile Ranger Rifles za kiingereza tena za kizamani kwenye mission inayowalazimu wepesi na tacktics... its so absurd. Moja kati ya vitu vilivyotolewa duku duku na kamati maalum iliyoundwa after failure in Munich Massacre ilikua ni choice of weapons baada ya Polisi wa kijerumani kutumia Rifles kubwa zinazo punguza Manurvability and accuracy na kuundwa kwa special counter terror unit.

Kwa waliopitia mafunzo watakubaliana na mimi kua Counter Terror Rescue Mission ni zaid ya Uwanja wa Vita cz huokoi maisha yako tu bali na ya mateka na mali. Hivyo SPEED, ACCURACY and TIME are key elements. Ukimkosa gaidi kwa risasi moja analipua jengo zima ni matter of seconds tu ila vitani unaweza ukamimina ile Minimi mpka mkanda ukaisha na bado usiue mtu ukawa hai na wala wewe usife mkatupiana njugu mwezi mzima lakini hii sio sawa kbsa kwenye Rescue Missions ndio maana Choice ya Weapon hata mtu wa kuifanya hiyo kazi inamata sana... nilidhani leo wakenya watakua wamejifunza.

Mwisho kwa yaliyotokea Kenya hata TZ yaweza tokea hivyo tuwe makini na Siasa zetu za Kimataifa na kuboresha Ulinzi katika nyanja zote.

POLE ZANGU KWA WAHANGA!

We jamaa ni noma....kama uko JWTZ ....baaasi sina wasi wasi tena...maana siku hizi hata nikikaa contener kwa mangi na kabia kangu nakua na wasiwasi kweli......ahsante sana mkuu.
 
Nilidhani baada ya Miaka takribani 41 since makosa yaliyofanyika baada ya matokeo ya Ugaidi kule Munich 1972 kwenye Winter Olympic Games Kenya watakua wamejifunza namna ya kukabiliana na ugaidi lakini wenzetu bado sana.

Kuna vipengele vichache ambavyo Ujerumani ilivikosea na kusababisha Wanariadha 11 wa Kiisrael kupoteza maisha na leo nashuhudia Kenya wakirudia kitu kile kile.

1. Role of Media Coverage

Kutokana na kukua kwa Uhuru wa Habari kwa wenzetu ( Europe ) baada tu Kikundi cha Black September kuwateka wanamichezo wa kiisrael media zilifurika nje ya Apartment waliyotekwa na kuanza kuripoti mwenendo mzima wa tukio. Ndani ya zile apartment kulikua na tv ambazo wale magaidi walikua wanaona na kufuatilia kila kitu. Matokeo yake Rescue Mission ya kwanza iliyopangwa na Polisi (hawakua na counter terrorism unit kipindi hicho) ikawa inapigwa picha live na wale magaidi wanona ni nini kinaendelea.

Ilikuwa kichekesho sababu magaidi waliweza kujua polisi wako wapi na wanafanya nini kwa kupitia tv zao ndani. Mission was aborted baada ya polisi kuona asilimia za ushindi kua chache. Leo wakenya wanafanya kitu kile kile updates zote ziko on air na kwa mujibu wa mashuhuda westgate complex ina dozens of tv sets ni km pale Mliman city tu unapoingia Game!

2. Rescue Team

Kikosi kilichopelekwa kufanya Rescue kinatoka KDF: Maroon Commandos (counter terrorism Unit) ukisoma Article moja online ya hawa jamaa wamesifiwa sana kua ni total replica ya their counterparts the likes of Sayeret Matkal (israel), NAVY SEALS (USA) and SAS (UK) cz huko ndiko wanako watrain. Lakini honestly speaking hawa jamaa wako nyuma kuliko ilivyosemwa cz kwa mission km hizi choice of weapons ina matter sana.

Counter terrorism zote ndani ya majengo au vehicles including ndege hufanywa kwa priority ya Mini Assault Rifles refer operation Entebe, Spring of Youth, Air Sabena (Sayeret Matkal), Operation Barras, Iran Embassy Siege (SAS) na Operation Bin Laden, (SEALS). Mini assault rifles hapa nazungumzia the likes of Heckler and Kotch, Uzi, Mini Galil, AK-74 folding etc. Ambazo ni ndogo, fupi, hubebeka kirahisi na zina range ile ile ya Weapons za kawaida hutumika pia na Makomandoo wa JWTZ km ilivyoonekana juzi Goma na kipindi cha miaka 50 ya Uhuru pale Taifa.

Lakini nimeshangaa kuwaona KDF: Maroon Commandos wakiwa wamebeba mitutu mirefu, mizito ya M 16 na zile Ranger Rifles za kiingereza tena za kizamani kwenye mission inayowalazimu wepesi na tacktics... its so absurd. Moja kati ya vitu vilivyotolewa duku duku na kamati maalum iliyoundwa after failure in Munich Massacre ilikua ni choice of weapons baada ya Polisi wa kijerumani kutumia Rifles kubwa zinazo punguza Manurvability and accuracy na kuundwa kwa special counter terror unit.

Kwa waliopitia mafunzo watakubaliana na mimi kua Counter Terror Rescue Mission ni zaid ya Uwanja wa Vita cz huokoi maisha yako tu bali na ya mateka na mali. Hivyo SPEED, ACCURACY and TIME are key elements. Ukimkosa gaidi kwa risasi moja analipua jengo zima ni matter of seconds tu ila vitani unaweza ukamimina ile Minimi mpka mkanda ukaisha na bado usiue mtu ukawa hai na wala wewe usife mkatupiana njugu mwezi mzima lakini hii sio sawa kbsa kwenye Rescue Missions ndio maana Choice ya Weapon hata mtu wa kuifanya hiyo kazi inamata sana... nilidhani leo wakenya watakua wamejifunza.

Mwisho kwa yaliyotokea Kenya hata TZ yaweza tokea hivyo tuwe makini na Siasa zetu za Kimataifa na kuboresha Ulinzi katika nyanja zote.

POLE ZANGU KWA WAHANGA!
Mkuu, Hatuwezi sifia kitendo cha kikatili cha jamaa na kukiita cha akili kwani walikuwa wanacheza na roho za watoto na akina mama wenye mimba. Hata enzi za kale, haikuruhusiwa hata kumuua askari mwenzio aliyelala. Kwa misingi hiyo, wauwaji walifanikiwa kirahisi sana kuua, kubadili nguo na kubeba majeruhi na kutoka nao. Hata waokaaji wengine ingelikuwa bongo wangelisaidia polisi kwani uwezekano ni mkubwa kuwa magaidi walijipango kujifanya wasamaria wema. Kitu cha msingi, Tanzania hapana chezea, DRS Wanasifiwa dunia nzima, Mashujaa wetu Wakati wa Mabomu ya Mbagala, Walijua wanakwenda kufa, Waliingia kwa furaha ndani ya mahandaki, kwa uzalendo na utaifa walitegua mabumu na WAKAISHIA R.I.P Wazee wa kazi. Kufikiri ni kugumu. Tumefundishwa JKT, Hata bomu la mkono likidondoka mbele yenu, yapashwa mmoja afe kwaajili ya wengi. Hii ndo Tanzania. Kenya naona kama vile waliogopa kufa kwaajili ya wengi. Nipo radhi kusahihishwa.
 
Unachekesha huyu mwanzisha mada kafundishwa na hao unaotaka awafundishe!!
Unaijua nchi yako vizuri? uliza makaburu,wareno na vibaraka wao wakwambie!!
Eti eeh?! lakini mbona anajisema kama raia wa kawaida hapa jf au ndio hiyo sheria ya anonymity?
 
Katika mambo yaliyonishangaza ni kuona kila mtu aliyetoka ndani ya Mall akiwa amenyosha mikono aliachiwa aendelee au kupelekwa katika Ambulance.
Hili ni kosa kwasababu katika vurugu hujui nani mwema nani mbaya na mbaya anaweza kutumia nafasi hiyo kutoroka.

Kwa wale waliofuatia habari za Carlos na Budia watakumbuka wakati ambapo mmoja wao alishtukiwa kuwemo ndani ya ndege. Ghafla akajifanya kaugua na ndege ilipofika uwanjani ambulance za emergency zilikuwepo kubeba 'mgonjwa'. Jamaa kasepa kwa ulaini.

Kilichopaswa kufanywa ni kukamata kila mmoja isipokuwa watoto halafu kuwahoji kujua undani wao.
Pili, kufunga eneo lote na kutoa muda wa kusoma ramani ya eneo hilo kubaini wanaweza kutokea wapi.

Hakukuwa na haja ya kulipua jengo kwasababu lengo ni kuwapata wakiwa hai na kutafuta habari zaidi zinazowahusu.
 
Jipu linapokuwakwenye mwili wa mwenzio huonekanakama kidonda cha kawaida.tunajazana masifa tusiyostahili wakati ambapo hata kazi ya uokoaji kwenye majanga inatushinda rejea ajali ya mv Bukoba na hivi majuzi Nungwi hao unaowasifia walitoa mchango gani au ujanja ni kutumia silaha tu?
 
Na Waisraeli pi walikuwa wanawasaidia Wakenya ? Al Shabab wangapi wamekamatwa ?
 
Back
Top Bottom