kataip
Senior Member
- Aug 21, 2013
- 145
- 80
Habari wanajukwaa!
Tatizo la weupe kwenye macho hasa pembeni ya jicho unatoka kwa nje kuliani au kushotoni. Huwa unasababishwa na nini na vipi unaweza kuutibu?
Nina hilo tatizo kama mwaka sasa niliwahi kutumia dawa za macho lakini hazikusaidia. Naombeni mnisaidie.
Wapi Mzizimkavu na timu yake.
Tatizo la weupe kwenye macho hasa pembeni ya jicho unatoka kwa nje kuliani au kushotoni. Huwa unasababishwa na nini na vipi unaweza kuutibu?
Nina hilo tatizo kama mwaka sasa niliwahi kutumia dawa za macho lakini hazikusaidia. Naombeni mnisaidie.
Wapi Mzizimkavu na timu yake.