Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari JF....Naomba kwa anayejua namna ya kuondoa weusi kwenye makwapa anijulishe!! Nawasilisha.
unaona aibu kuvaa vile vikamba vyenu na makwapa nje? bora usipate msaada ili uvae nguo za kuficha weusi wa makwapa yako,na harufu je? i wazi itakuwa kali sana kwa sababu ya weusi wa makwapa..
unaona aibu kuvaa vile vikamba vyenu na makwapa nje? bora usipate msaada ili uvae nguo za kuficha weusi wa makwapa yako,na harufu je? i wazi itakuwa kali sana kwa sababu ya weusi wa makwapa..
Habari JF....Naomba kwa anayejua namna ya kuondoa weusi kwenye makwapa anijulishe!! Nawasilisha.
Nshawahi sikia kusgua kwa limao au ndimu inasaidia.
Mtu mzma kama ww kuongea upumbavu cyo sifa huna la kuchangia funga domo lako...unazani kama mkeo ananuka kwapa na k ni wote???
Mtu mzma kama ww kuongea upumbavu cyo sifa huna la kuchangia funga domo lako...unazani kama mkeo ananuka kwapa na k ni wote???
hahahaaaaa,itakuwa kweli kwapa lako na k yako inanuka sana ndo maana uko na stress kibao,pole zako
hahahaaaaa,itakuwa kweli kwapa lako na k yako inanuka sana ndo maana uko na stress kibao,pole zako
Linamo punguza hasira na jazba mpz ili uweze kusaidiwa ukikosea thread ukaenda off topic watu wataacha kuchangia na kuangalia ushabiki wa maneno mnayojibizana. be patiency kuna watu wa kila aina humu