Wewe Dada. Binadamu pekee mwenye mapenzi ya dhati kwako hapa duniani ni mumeo

Wewe Dada. Binadamu pekee mwenye mapenzi ya dhati kwako hapa duniani ni mumeo

Sio kweli, hii ni stereotype usiiamini

Unajikandamiza, unauhusisha utu wako na mali

Utakapokosa hizo mali/ukiwa nazo kidogo utakosa na furaha

And yes, you can be loved for just the way you are
Anakulisha yeye
Anakuvisha yeye
Bando anakununulia yeye
Kodi ya pango analipa yeye/Nyumba kajenga yeye
Bili ya umeme na maji analipa yeye
Ada ya watoto analipa yeye
Wazazi wako wakiwa na shida anawasidia yeye
Wazazi wake wakiwa na shida anasaidia yeye
And she just love you the way you are?! We ulisikia wapi?! Huyo mwanamke ulimuona wapi?!
 
I don't mean you can't love yourself! You can, but mostly as a man in natural selection you have to be strong to provide. Being loved as a man you have to offer something, because masculine is about provision we are meant to provide. Mwanamke ana feel comfortable kwa mwanaume anae provide. That's how things work. Tukiondoa stereotypes zote hii ndo jinsi mambo yalivyo.
Umekariri tu siku hizi wanawake nao wanaprovide

Ngoja nikuache
 
Anakulisha yeye
Anakuvisha yeye
Bando anakununulia yeye
Kodi ya pango analipa yeye/Nyumba kajenga yeye
Bili ya umeme na maji analipa yeye
Ada ya watoto analipa yeye
Wazazi wako wakiwa na shida anawasidia yeye
Wazazi wake wakiwa na shida anasaidia yeye
And she just love you the way you are?! We ulisikia wapi?! Huyo mwanamke ulimuona wapi?!
Yeye hana hela? Tulieni basi
 
Umenena vema muebrania wewe ila naona kama unazipigia gitaa 🐐 na 🐑
 
Back
Top Bottom