Mkogoti
TAPELI Mkubwa
- May 3, 2020
- 2,415
- 3,924
Story ipo hivi huyo dada nilikutana naye pande flani hivi maeneo ya Sokoni ilikuwa Jumapili jioni, nikamwomba namba akanitoa kiroho safi. Mahusiano yetu yakaanza tumekaa kama miezi mitatu kama sikosei.
Sikuwa namtafuta maana namba yake ilikuwa haipatikani mpaka nikaona ngoja nitulie kwanza, ila juma moja nikaamua niende nimtafutie kule maeneo ya kwao.
Kumbe hata kule nilipokuwa namsindikiza kwenda kwao kumbe alikuwa ananichora tu, kiukweli nilikuwa naishia njiani sikuwa namuona anapoingilia basi akiona nimerudi anapitia njia nyingine tofauti ndo anaenda kwao, mtoto mbaya sana yule😞
Okey kama week hii nimeelekezwa kwao nimefika kumbe pale alipokuwa anakaa walikuwa wanakaa wawili tu na rafiki ake! Pia, jina aliloniambia ni jina la rafiki ake na sio lake balaaa🤕
Kingine rafiki yake anasema yeye huyo hayupo kashaenda Mwanza, akaniuliza mimi ndo nilimnunulia kanga na kikoi cha kimasai. Duh! Hapo nikaona kichwa kinauma napepesuka nataka kuanguka, haaaa haaa😂
Nikajua ooh kumbe🤔 sikuwa nahudumia peke yangu😞 ila mi shida yangu ni kwanini anidanganye hadi jina na sehemu anayoishi wakati nilikuwa mtu mwema kwake?
Sikuwa namtafuta maana namba yake ilikuwa haipatikani mpaka nikaona ngoja nitulie kwanza, ila juma moja nikaamua niende nimtafutie kule maeneo ya kwao.
Kumbe hata kule nilipokuwa namsindikiza kwenda kwao kumbe alikuwa ananichora tu, kiukweli nilikuwa naishia njiani sikuwa namuona anapoingilia basi akiona nimerudi anapitia njia nyingine tofauti ndo anaenda kwao, mtoto mbaya sana yule😞
Okey kama week hii nimeelekezwa kwao nimefika kumbe pale alipokuwa anakaa walikuwa wanakaa wawili tu na rafiki ake! Pia, jina aliloniambia ni jina la rafiki ake na sio lake balaaa🤕
Kingine rafiki yake anasema yeye huyo hayupo kashaenda Mwanza, akaniuliza mimi ndo nilimnunulia kanga na kikoi cha kimasai. Duh! Hapo nikaona kichwa kinauma napepesuka nataka kuanguka, haaaa haaa😂
Nikajua ooh kumbe🤔 sikuwa nahudumia peke yangu😞 ila mi shida yangu ni kwanini anidanganye hadi jina na sehemu anayoishi wakati nilikuwa mtu mwema kwake?