Wewe dada mwenye nywele ndefu halafu una ndugu Mwanza nimejua ulikuwa unaniongopea?

Wewe dada mwenye nywele ndefu halafu una ndugu Mwanza nimejua ulikuwa unaniongopea?

Kwani na wewe ukikuwa unataka kumuo au kumkula tu?,
Dili inakuwa mgumu mkikutana wote matapeli, nikili nikukili, ukilemaa umeacha feri.
 
Wasukuma bhana... dah

Mi nakushauri ubadilishe User name... Maana hakika unamkosea heshima Bwana Mungu wa Majeshi
 
Rudia kusoma. Yeye hakumnunulia hivyo vitu, kwaio alipoambiwa hivyo akajua kuwa alikuwa (binti) nao wengine hadi wanahudumia!

Mkuu chai yako haijaiva vizuri na sukari umezidisha, mfano hapo juu unasema umekutana nae sokoni akakupa namba na mwishoni chai yako inasema mambo ya kuhudumia.

Je ulikutana na mtu barabaran siku ya kwanza tuu ukaanza na kumnunulia kikoi au niuchawi wa ccm unakufanya ushindwe hata kupangilia chai yako vizuri
 
Jpili nenda katubu kwa kukusudia zinaa. PERIOD
 
Back
Top Bottom