MLEVi Mmoja
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 8,514
- 15,050
Kama ushakula funga domo lako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuchangiane tumrudishie aache kulalamaUlihudumia sh ngapi jumla
Atume no hapa tumrushie, inaonekana hela yake imemuuma sanaTuchangiane tumrudishie aache kulalama
Elf 5 ndo unalalamika hivyo had kumfungulia uzi dada wa watu.Mbona unacheka wewe
Tunaomba total ya pesa uliyotoa.
Mkuu chai yako haijaiva vizuri na sukari umezidisha, mfano hapo juu unasema umekutana nae sokoni akakupa namba na mwishoni chai yako inasema mambo ya kuhudumia.
Je ulikutana na mtu barabaran siku ya kwanza tuu ukaanza na kumnunulia kikoi au niuchawi wa ccm unakufanya ushindwe hata kupangilia chai yako vizuri
Afadhali... maana, Dah!Ah wapi hiyo nawachekesha tu haina ukweli wowote
Hahaa hapana ila nlitaka kujua ni kiasi gani hiko kimemuuma hivyounataka umlipe?🤣🤣