Wewe dada mwenye nywele ndefu halafu una ndugu Mwanza nimejua ulikuwa unaniongopea?

Kwani na wewe ukikuwa unataka kumuo au kumkula tu?,
Dili inakuwa mgumu mkikutana wote matapeli, nikili nikukili, ukilemaa umeacha feri.
 
Wasukuma bhana... dah

Mi nakushauri ubadilishe User name... Maana hakika unamkosea heshima Bwana Mungu wa Majeshi
 
Rudia kusoma. Yeye hakumnunulia hivyo vitu, kwaio alipoambiwa hivyo akajua kuwa alikuwa (binti) nao wengine hadi wanahudumia!

 
Jpili nenda katubu kwa kukusudia zinaa. PERIOD
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…