Wewe dada wa PPF hapo kwenye jengo la PSPF (posta) ninahitaji namba yako seriously.

Nisamehe mkuu nilidhani labda umeshawahi kutumia usafiri wa ndege.
Mkuu usijali, kwakuwa nipo kwenye mikiki mikiki ya kuutafuta uhuru wa kipato nitapanda sana na itakuwa kama nipandavyo daladala Mungu akiendelea kunilinda.
 
Kama wewe unavyokuwa pale mghahawani kwako maana sio kwa kukusifia chakula chako kitamu aisee NAHUJA wake jamani
 
Daaah! mi kuna dada Mmoja ananichekeagacheakeaga pale CHOPPIES MAKUMBUSHO! Ngoja nifanye utafiti nijue kama ni LABOUR EMOTION ama!
 
 
Wanaume wa dar hovyo sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…