Wewe dada wewe niliyekuona kwenye mwendokasi leo

Marahaba carba akwende uko china akasomee udome zege asitusumbue uku [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani nimecheka ka chizi,kwakweli udomo zege ni mtihani[emoji23][emoji23]
 
Sasa alikwambia yuko JF? Ndo maana mnasemwaga wanaume wa Dar
 
hahahahahh... naona kila mtu amekimbilia kwenye udomo zege. inapendeza kwa kweli....
 
alikuwa na smartphone
 
Si ulimuona live ukashindwa kumsimamisha na kumweleza

Ukute dada naye anatafuta mchumba siku nyingi hampati
 
Nakujaaa[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Anaye niogopa ndiyo mzuri tena ukimgundua hapo ndipo unaongeza mbwembwe na madoido[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
Utaliwa wewe usijaribu sumu kwa kuilamba.
 
Wanaume wa dar shida tupu.unaweza kwenda kuloga kwamba hutongozwi kumbe watu hawajui kutongoza.ila sishangai kama China kutongoza imekuwa tatizo hadi wanaanzisha darasa je Tanzania tatizo litakuwa kiwango gani?
Janga la dunia hilo
Leo kila mtu anajidai anajua kutongoza humu. Mimi ni mmoja wa watu ambao ni ngumu sana kutongoza stranger in public transport,places. Kwa thread hii nimejijua ni domo zege.
 
Leo kila mtu anajidai anajua kutongoza humu. Mimi ni mmoja wa watu ambao ni ngumu sana kutongoza stranger in public transport,places. Kwa thread hii nimejijua ni domo zege.
Hata namba unashindwa kuomba? Unamwambia Dada sijui nilikuona wapi blah blah nini.utapewa tu namba.
 
Story zako zitakua ni hivi hivi usipobadilika!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…