Wewe kaka wa JF umekuwa na papara hadi nimeshtuka

Hivi haya mambo kwa nn yasiishie ukouko pm mpaka mje kuweka na thread

Nashangaa na mimi!
Kweli kama amekubali kufunga safari koote, then anajuja kunisemea hapa??

Sijapenda hata kidogo...[emoji32][emoji32][emoji32][emoji32]
 
nikamwambia basi nikachukulie chumba nikalale akaniuliza ila tutalala pamoja,nikamwambia wewe kachukue tutaongea huko chumbani,wakati ananyenyuka nikaita Tax nikasepa na kuzima sim
mkuu mbona una roho ya kikatili hivi? kwahiyo mwamba alienda kuchukua room then akalala mwenyewe! kweli maendeleo hayana chama.....
 
Uyo mwanaume akakate uume, katudhalilisha sana ndo maana wanawaita wanaume wa dar.

kazidiwa ujanja na msukuma wa mwanza, yaani hainingii akilini, dem atoke mwanza, afu na mzgo nisile[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16].

Wakati kuna demu wa chuo, akiwa anarudi chuon atapita dar ale ukuni na kwa nauli yake, lbda nkimfkilia ya kurudi, shwaini, yaaani kama anasoma message ajue kakosea sana
 
Ila wanaume jamani yaani wanawake wakifanya hayo mambo mnawaona wana roho za kikatili ila wanaume mkiwa mnapiga na kusepa au mnazalisha na kuacha huwa mnajiona mko sawa?
mkuu mbona una roho ya kikatili hivi? kwahiyo mwamba alienda kuchukua room then akalala mwenyewe! kweli maendeleo hayana chama.....
 
Kwaiyo baharia amefeli

Tena amefeli kabisa..ata mm ningekua ndo huyo dem ningemfelisha..haiwezekani anitumie nauli niende msalimia alaf aanze kulilia kulala na mm nikiwa njiani..inatakiwa nitoke kwetu nikiwa najua naenda dar kuliwa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…