Wewe kaka wa JF umekuwa na papara hadi nimeshtuka

Wewe kaka wa JF umekuwa na papara hadi nimeshtuka

cutelove wewe ndo unanifaa! Hata mimi nina allergy na condom. Tukapime lini? Najua bado uko Dar.
 
Kwahiyo unasafiri toka mwanza kuja dar umuone mtu?huko whtsap hamkutumiana picha?

Ww ulikuwa tayari kutoa papa baada ya cku ngap tangu ufike dar?

Ndio maana siku hizi hata mtu akija PM nashindwa kuongea vzr ID nyingi zipo kwa ajili ya kuchorana tu
Mzee wanwkufwata wenyewe pm?
Hebu na mm nipe hyo dawa
 
Sasa joanah unaniangusha
Ukimwi unapatikana kwa njia mbali mbali ila kama unajiamini basi usiende nje ya box
@Kwekitui,suala la kucheza vyema ni different story

Mimi nina uhakika sina ukimwi lakini siwezi kupima
 
hapana sio mimi mkuu, mimi sijawahi kutongoza hata siku moja humu. Kuna mtu mmoja maarufu alitongoza humu freshi tu akaenda kukumbana na senge pale Lamada msimbazi kilichotokea ni balaa, usipende kutongoza tongoza humu mkuu..
 
  • Thanks
Reactions: amu
Back
Top Bottom