OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Kwaiyo utakuja kwangu halafu tuangaliane[emoji3][emoji3]Pole sana dear. Wanaume wanadhani ukienda kwake basi umeshamkubali kabisa na uko tayari kumpa kila kitu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwaiyo utakuja kwangu halafu tuangaliane[emoji3][emoji3]Pole sana dear. Wanaume wanadhani ukienda kwake basi umeshamkubali kabisa na uko tayari kumpa kila kitu.
Kwasababu ya UJINGA, USHAMBA na UTOTO.Hivi haya mambo kwa nn yasiishie ukouko pm mpaka mje kuweka na thread
Unajua ukikosa kampani utaenda hadi kigali wenzako hawana kampaniTangia ujana wangu mpka umri huu sijawahi kupata ujasiri Wa kumfata mtu simfahamu,sio nje ya mkoa tu hata ndani ya mkoa
Kwani kwenye mahusiano ni mapenzi tu ndio kitu cha kuwa concerned nacho?Kwaiyo utakuja kwangu halafu tuangaliane[emoji3][emoji3]
Mzee wanwkufwata wenyewe pm?Kwahiyo unasafiri toka mwanza kuja dar umuone mtu?huko whtsap hamkutumiana picha?
Ww ulikuwa tayari kutoa papa baada ya cku ngap tangu ufike dar?
Ndio maana siku hizi hata mtu akija PM nashindwa kuongea vzr ID nyingi zipo kwa ajili ya kuchorana tu
Wapo wengi sana wanaotuma.
Natakaaa jamaniiHutaki tena?..sawa
Natakaaa jamanii
kitongaNmecheka
mwambieni mwanamke mwenzenu aache ushamba, kwa umbali huo ni kama tayari alishakubali kutoa urodaHahaha amsalimie huyo ni kaka akee
hata ufunge, tumeshakujua wewe ni kitonga ni kuteleza tuuJamani,yamekuwa hayo!!! Nafunga pm kuanzia sasa na stadate na mwanaume wa jf
SawaNjoo uniambie sasa