Sawa
Nakuja mimi jamani
Sio yaleyale,nikiwa nao halafu sijui ni heri kuliko nipime nikutwe naoHata kama unao,usipopima ni yaleyale tu
Worry outM waitin
Saa hizi anaugulia uchungu wa nauliBaharia kuna step kakosea,saa hiz ungekuwa ushatombeka,hizi mbwembwe za kuja uzi zisingekuwepo!
Bila shaka huna mtoto na wala hujaolewa..Sio yaleyale,nikiwa nao halafu sijui ni heri kuliko nipime nikutwe nao
Kukutwa mgonjwa ndio chanzo cha stress na mazaga zaga mengine ya kuumwa kweli yanaanza
Hivi haya mambo kwa nn yasiishie ukouko pm mpaka mje kuweka na thread
nimetamani ku kiss hii reply yako kwakweli...ππHivi haya mambo kwa nn yasiishie ukouko pm mpaka mje kuweka na thread
najua kabla ya huu mwaka kuisha utakuwa ushageuka upande huu tayari ππHivi haya mambo kwa nn yasiishie ukouko pm mpaka mje kuweka na thread