Wewe kaka wa JF umekuwa na papara hadi nimeshtuka

Nipo upande wa huyo kaka kwa jambo moja tu...kukataa kupima

cutelove kupima sio jambo dogo eti,bora ingekuwa kupima malaria basi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
NOKIA83 umeongea ukweli humu watu wanachorana kama nini hata mimi niko tu kiuzugaji kwa sasa yaani mtu asemalo hata simaanishi
 
Hukumtendea haki kabisa unempa hata kwa kondom tu.

Kuna celebrity was nchi fulani hapo nilituma tiketi ya ndege go and return ya 1.2 M kuja akataka kuleta kama za kwako eti aje aniambie next time akirudi ndio anipe papuchi......

NB. sisi tulikuwa tumepima.

Kwa kifupi huyo kaka ni boya
 
Hata kama unao,usipopima ni yaleyale tu
Sio yaleyale,nikiwa nao halafu sijui ni heri kuliko nipime nikutwe nao

Kukutwa mgonjwa ndio chanzo cha stress na mazaga zaga mengine ya kuumwa kweli yanaanza
 
Sio yaleyale,nikiwa nao halafu sijui ni heri kuliko nipime nikutwe nao

Kukutwa mgonjwa ndio chanzo cha stress na mazaga zaga mengine ya kuumwa kweli yanaanza
Bila shaka huna mtoto na wala hujaolewa..
Maana ukipita hizo stage hapo juu utapima tu kwa lazima
 
Umekata Bus gani kurudi Mwanza?_kama hutojali,naomba nikupokee usiku huo utaofika..n hayo tyuu...cc cutelove
 
Jf imekuwa ya hovyo kweli siku hizi. Zamani tulikuwa tunakulana kimya kimya hamna mambo ya kuja kuanzishiana sredi baadaye.
 
kuna mtu nammendea nikimpata nitaweka siredi.
 
wanaume siku hizi tumekua wakweli sana mambo ya kujifanya hatutaki kumbe tunataka tulisha yaacha muda sana...Mtu anakwambia live anataka mzigo..kama unampa mpe hutaki Niambie...Napenda nampenda zishapitwa na wakati.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…