Wewe kaka wa JF umekuwa na papara hadi nimeshtuka

baada ya kugegedewa na kutokupewa hela ndio unakuja kulalamika huku ehee
 
Hakika wewe ni kiboko! Uamuzi wa maana huo!
 
Ulipowasha simu ikawaje?
 
Kumbe kuna watu bado wanatuma nauli hiyo ni betting flan..dahh!! Ila mkuu nawe ungempa tu hata goli 1 na kinga kwan nan angejua maana jamaa kaonyesha ujasiri na kakuamin pia
 
Hivi haya mambo kwa nn yasiishie ukouko pm mpaka mje kuweka na thread
Yafuatayo yanaweza yakawa majibu,utoto,ulimbukeni,kujionesha kwamba naye kuna mtu kampenda.Jamani ya huko pm yaishiage huko.Nimejikuta namuonea huruma huyo kaka(sio Kwa kukimbiwa Bali Kwa kuanikwa).
 


Kwahiyo ukapandishwa basi...hatari sana
 
Picha zenu zikianza kutumwa humu..mnaanza kulalamika
 

UKIMWI sawa, mimba je? Au utampeleka kwa bibi yake kijijini .....😕
 
Utatakiwa uheshimu makubaliano la sivyo utafanyiwa Kama huyo mjamaa
Ninachoamini na kujipa moyo ni kwamba sitaanikwa, sitasemwa huku, tutayamaliza kuitu uzima. Hiyo ndio furaha ya ku-date mwanamke kama wewe...
 
cutelove, Hivi unaanzaje kukubali kutumiwa nauli? Je, unategemea anakutumia nauli ili uje ukwangue sato wake? Au uje kumlimia shamba? Hujui hakuna urafiki kati ya mwanaume na mwanamke zaidi ya K? Hivi hujioni kuwa katika hali ngumu ya fedha mtu hawezi kutuma nauli ati uje ukaliwe na wanaume wengine? acheni umalaya kama wa Demiss, katoto kazuri na wengine? Huu uzi umekudowngrade sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…