kutuma nauli ni sawa na kucheza biko tu, kuna chansi kubwa ya kutapeliwaVipi kama ungeliwa kiboga mama ungeleta mrejesho hapa?
Hivi bado kuna mtu anatuma nauli kwa demu ambae hata hamjawahi kuonana!!? Kweli huyo jamaa ni bwege tu ndo maana ukamuacha kirahisi sana.
huyo jamaa itabd nimfahamu anipe maujuziiAlinichanganya na mbinu zake
we dada wanaume tumekukosea nini!Safi sana, kama nawaona baadhi ya wanaume humu walivyovimba mwanaume mwenzao kushindwa na bado.
Mwanaume muongelewa nae kafungua thread kukiri ni yeye.nae katoa Yale hujona?Utaki kusema ukweli kwamba kidume kilienda lodge na wewe lkn mazingira aliyoyakuta huko yalimfanya asepe akuache lodge, I bet ilikuwa hv: baada ya kufika geto na kusaula viwalo vyote alikutana na harufu kali misli ya shombo la samaki kutoka kwenye papuchi, pili minywele makwapani ilikuwa mingi na kutoa harufu Kali kama mbege iliyochacha, tatu wakati unamsogelea doma likawa linatoa harufu Kali kama choo cha stand ya mbagala rangi tatu.
Sasa tuulizane humu vidume wenzangu ni mwanaume gani jasir atakubali kugegeda hiyo slut iliyofunga safari kutoka mwanza hadi dar?
Ndiyo kwani haujui kuwa bongo mapenzi ni mashindano kati ya wanaume na wanawake? Maana wanaume si ndiyo mnapendaga mashindano kwenye mapenzi eti ili tu msionekane wajinga wanawake wakiwakosea kidogo tu mnataka kuwalipizia kwa kisingizio cha kwamba mkiwasamehe mtaonekana mafala kwenye jamii
Kwahiyo lazima mlipize kwa namna yoyote ile mwanaume akitendwa na mwanamke mmoja utamsikia anasema "kuanzia leo siwaamini tena wanawake wote kasoro mama yangu tu yaani nitakuwa napiga na kusepa au nazalisha na kuacha tu" sasa hayo kama siyo mashindano ni nini? Yaani kwa wanaume wengi wa bongo mapenzi ni vita
we dada wanaume tumekukosea nini!
Nimekupenda bure[emoji28][emoji28]
wasipime wala wasi fuckiane! na amesafirishwa kwa nauli ya mtu! dah ujue si kazi rahisi.. japo rahis kuandika.. [emoji23][emoji23]
Msiojua story vizuri unganisheni na hii thread basi
https://www.jamiiforums.com/threads...kera-ila-lazima-nilijibie-hili.1622066/unread
Hawa watoto wapuuzi sana, yaani wanakuja kuanika siri zao humu hadharani!!!Nawe umoππ emu tuwaachie mambo yao turudi kwetu kule
Melo awasamehe bure kwa kumjazia server. Ila porojo zao ni Ardhi na Mbingu hata ukiconnect dots hupati cha kueleweka ππHawa watoto wapuuzi sana, yaani wanakuja kuanika siri zao humu hadharani!!!
Shida ni huu umiliki wa simu janja!!!Melo awasamehe bure kwa kumjazia server. Ila porojo zao ni Ardhi na Mbingu hata ukiconnect dots hupati cha kueleweka ππ
V.P akaamua kuconclude ID ni za mtu mmoja zinajichamba zenyewe .
Mambo meusiii kabisa haya
Umefanya niende kuchungulia (joined)ππShida ni huu umiliki wa simu janja!!!
Nakumbuka enzi najiunga JF (mie ni kijeba ujue) ilikuwa tunatumia desktop hata laptop hazikuwepo!!! hahahahahhahahahh
Ila na wewe umekula chumvi Sana humu miaka 12 humu unadunda tuuh kipindi hicho Mimi na miaka 19 nakupa kongole kwa hiliShida ni huu umiliki wa simu janja!!!
Nakumbuka enzi najiunga JF (mie ni kijeba ujue) ilikuwa tunatumia desktop hata laptop hazikuwepo!!! hahahahahhahahahh