Wewe kaka wa JF umekuwa na papara hadi nimeshtuka

Wewe kaka wa JF umekuwa na papara hadi nimeshtuka

Utaki kusema ukweli kwamba kidume kilienda lodge na wewe lkn mazingira aliyoyakuta huko yalimfanya asepe akuache lodge, I bet ilikuwa hv: baada ya kufika geto na kusaula viwalo vyote alikutana na harufu kali misli ya shombo la samaki kutoka kwenye papuchi, pili minywele makwapani ilikuwa mingi na kutoa harufu Kali kama mbege iliyochacha, tatu wakati unamsogelea doma likawa linatoa harufu Kali kama choo cha stand ya mbagala rangi tatu.

Sasa tuulizane humu vidume wenzangu ni mwanaume gani jasir atakubali kugegeda hiyo slut iliyofunga safari kutoka mwanza hadi dar?
 
Utaki kusema ukweli kwamba kidume kilienda lodge na wewe lkn mazingira aliyoyakuta huko yalimfanya asepe akuache lodge, I bet ilikuwa hv: baada ya kufika geto na kusaula viwalo vyote alikutana na harufu kali misli ya shombo la samaki kutoka kwenye papuchi, pili minywele makwapani ilikuwa mingi na kutoa harufu Kali kama mbege iliyochacha, tatu wakati unamsogelea doma likawa linatoa harufu Kali kama choo cha stand ya mbagala rangi tatu.

Sasa tuulizane humu vidume wenzangu ni mwanaume gani jasir atakubali kugegeda hiyo slut iliyofunga safari kutoka mwanza hadi dar?
Mwanaume muongelewa nae kafungua thread kukiri ni yeye.nae katoa Yale hujona?
Jf imekuwa kama group la WhatsApp.hata mie nakiri nimechangia kuharibu forum ya watu..
 
Ndiyo kwani haujui kuwa bongo mapenzi ni mashindano kati ya wanaume na wanawake? Maana wanaume si ndiyo mnapendaga mashindano kwenye mapenzi eti ili tu msionekane wajinga wanawake wakiwakosea kidogo tu mnataka kuwalipizia kwa kisingizio cha kwamba mkiwasamehe mtaonekana mafala kwenye jamii

Kwahiyo lazima mlipize kwa namna yoyote ile mwanaume akitendwa na mwanamke mmoja utamsikia anasema "kuanzia leo siwaamini tena wanawake wote kasoro mama yangu tu yaani nitakuwa napiga na kusepa au nazalisha na kuacha tu" sasa hayo kama siyo mashindano ni nini? Yaani kwa wanaume wengi wa bongo mapenzi ni vita

Nimekupenda bure[emoji28][emoji28]
 
Mwamba kajibu sema nimeshindwa kuattach ule uzi hapa wenye uzoefu watatusaidia kuuattacha hapa
 
Yaani mwanamke akisema ametapeli nauli ya mwanaume ni muongo ila mwanaume akisema amemgegeda mwanamke na kumpiga chini ni mkweli? Bongo bwana!@othuman dan fodio,
 
cutelove, Sasa dada mpaka unatumiwa nauli umfuate dar bado tu hujajua nia yake kweli? Kama haukuwa tayar hata nauli yeke usingepokea basi,..

Wakati mwingine wanawake acheni ujinga
 
Melo awasamehe bure kwa kumjazia server. Ila porojo zao ni Ardhi na Mbingu hata ukiconnect dots hupati cha kueleweka 😂😂
V.P akaamua kuconclude ID ni za mtu mmoja zinajichamba zenyewe .

Mambo meusiii kabisa haya
Shida ni huu umiliki wa simu janja!!!
Nakumbuka enzi najiunga JF (mie ni kijeba ujue) ilikuwa tunatumia desktop hata laptop hazikuwepo!!! hahahahahhahahahh
 
Shida ni huu umiliki wa simu janja!!!
Nakumbuka enzi najiunga JF (mie ni kijeba ujue) ilikuwa tunatumia desktop hata laptop hazikuwepo!!! hahahahahhahahahh
Umefanya niende kuchungulia (joined)😂😂
Haha tupe darsa wadogo zako
 
Shida ni huu umiliki wa simu janja!!!
Nakumbuka enzi najiunga JF (mie ni kijeba ujue) ilikuwa tunatumia desktop hata laptop hazikuwepo!!! hahahahahhahahahh
Ila na wewe umekula chumvi Sana humu miaka 12 humu unadunda tuuh kipindi hicho Mimi na miaka 19 nakupa kongole kwa hili
 
Back
Top Bottom