Wewe kaka wa JF umekuwa na papara hadi nimeshtuka

na nauli imeliwa mzigo haujaguswa....haya mambo huwa sikubaliani nayo kabisa.......mpaka natuma nauli tusha agree terms & condition.....pole mzee baba...
 
Yaani wanaume bwana nauli zenu zinawauma sana ila ninyi kwenye kupiga na kusepa mnadhani wanawake ndiyo hawaumii
Ndio zinauma Sana maana kuanzia kukutongoza mpaka kukutumia nauli tunakuwa tushatoka jasho kubwa sana.sasa Hali hiyo halafu ukose kuja???

Kuhusu kutiwa na kusepa mbona ngoma ni droo kwamba hata wewe umeenjoy Tena Sana kwa kunywa kula, usafiri nk wengine huwa hamjatiwa muda mrefu mnakuja na nyege zenu sisi tunawatoa fresh.
 
Dooh nilidhani unajielewa kumbe na wewe ni wale wale tu!!
 
Yaani hadi ninyi wanaume leo mnasema kwenye ngono ni 50/50? Kama ingekuwa hivyo jiulizeni ni kwanini wanaume ndiyo mnataka sana ngono kuliko wanawake?
Wadada ni walalamishi Sana aisee.

Kitu ni 50/50 lakini bado wanataka Nini sijui.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…