Wewe kaka wa JF umekuwa na papara hadi nimeshtuka

Wewe kaka wa JF umekuwa na papara hadi nimeshtuka

Huna kazi ya kufanya yqwni unatoka mwanza kuja kuonana na mtu kama huyo au upo desperate sana na ndoa au ni nini?so mngepima ungempa dah wanaume tuna kazi sana wanawake wa sasa wako very cheap
Kuna mkaka wa humu,alianza kama utani huko Pm,kama kawaida yao kwa kuomba namba ya WhatsApp walivyo fasta,akaniomba nikampa

Tumezidi kuwasiliana,na kuanza kuzoeana ingawa yeye yupo Dar ,na Mimi nikiwa Mwanza

Alianza kama marafiki,tukawa tunapiga stories za maisha hapa na pale,bila kuniambia kuwa ananihitaji kimapenzi

Sasa juzi kanitumia nauli nije huku Dar tukutane na kufahamiana zaidi,basi nikamwambia hamna shida

Nikaanza safari,kufika Dodoma ndo akaanza kuingiza stories za kulala pamoja,nikamwambia for first time haitawezekana,nitakuja huko tutaonana,basi siku nyingine nikija ndo tutafanya hivyo,akakubali

Nikafika hapa Dar,akanipokea fresh,akanipeleka hotel tukapata chakula,,ila akawa ananiomba tulale pamoja nikakataa,akalazimisha nikahisi nisipoweka kigingi kizito hapa naweza kuingia online bila matarajio

Basi nikamwambia,kesho yaani nipo tayari kwa hilo unalotaka ila sharti la kwanza tukapime magonjwa ya ngono,akakataa,nikamwambia basi nikachukulie chumba nikalale akaniuliza ila tutalala pamoja,nikamwambia wewe kachukue tutaongea huko chumbani,wakati ananyenyuka nikaita Tax nikasepa na kuzima sim

Haraka zenu muda mwingine mtakuwa mnaambulia zero,na kwa nini hutaki kupima zinaa kwanza,wengine tuna allergy na kondom,I'm sorry jamani,nipo nakata tiketi kwa ajili ya safari ya kesho
 
Kama story ni ya kweli basi ulishamalizana nae saa nyingi kabisa ila hutaki kusema,kingine hivi kweli unakutana na mtu anakuomba namba za whatsap kupitia Jf hamjuani hata sura na hata majina unamkubalia,mnachat weeeeeeeeeee mwisho anakuita Dar es salaam unafunga safari ndefu,kha we dada ulikuwa unafata aise kama isyo
 
Soma comments zangu kwa huyu katoto kazuri kanakokaa Arusha, kanajitanabaisha kuwa ni kanafunzi. Huwa kila siku nakaeleza kaache umalaya! Kwa bahati nzuri mimi ukinitukana nafurahia maana najua ujumbe umekufikia. Naamini kuwa tusi si tusi hadi anayetukanwa ajione ameambiwa ukweli! Mfano unaniita mjinga wakati mwenyewe najua si mjinga hiyo hainisumbui.

Hapa JF kazi yangu ni kuwapa watu ukweli wao. Napingana na utoto, umalaya na kutokuwa mzalendo kwa taifa lako regardless nani ni Rais! @demss nilimweleza ukweli akang’aka lakini ni hulka yao. Changudoa yeyote matusi yapo kwenye tip ya ulimi wake. After all unadhani wengi wanaupenda uchangu? La hasha ni matatizo tu ndo yanawafanya hivyo. Matatizo hayo ni pamoja na ufukara, kupenda vya dezo, kutafuta mtu wa kumuoa kwa nguvu, washawasha katika K, tamaa ya madushe etc.
Mwenyewe wewe ni fukara tu huna lolote mwenyewe vyote ulivyosema niwewe na badala ya changu jiweke shoga basi tumemaliza .
Demiss sijui katoto kazuri sijui hujui tuache fanya yao.
 

Nataka Kuunganisha Dots Kidogo
 
Back
Top Bottom