Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya shogare pole kwa masaibu, ila ungeuchuna tu usingelileta JFHahahah
ndio maana basi, naona unafurahia ungezeko la wanaume wa Kino
aiseeila mimi nipo kwenye hilo kundi la pili!!
Hicho ndiyo ulichoweza kusema
Ila huwa mna disappoint watu sana
Na wenye roho mbaya huishia kuwafanyia ukatili tu
wanaume kupiga na kusepa
kuwatapeli nauli zenu ninyi ndiyo mnaumia siyo?
hapa tunapata RAHA wote ( wote tuna gain )
hapa mwanaume ndio ana lose, mwanamke ana gain
anakua na tamaa ya pesa tatizoMbona sasa mnawadharau wanawake waliotembea na wanaume wengi?
Maumivu hayawezi kuwepo kama haujabakwaTunadisappoint watu?? Yaani wanaume kupiga na kusepa mnaona raha na mnadhani wanawake hawaumii ila wanawake kuwatapeli nauli zenu ninyi ndiyo mnaumia siyo??
Hamjui tu jinsi gani wanawake hawapendi mnavyowadharau hivyo endeleeni kuwadharau na msilalamike kwa yatakayowakutaMaumivu hayawezi kuwepo kama haujabakwa
Kama umekubali nini kinachokuumiza sasa?
Na kama hautaki kwanini ule vya watu?
Mlilazimisha tuwe 50/50 bwana.Dooh nilidhani unajielewa kumbe na wewe ni wale wale tu!!
Mbona bado hamjawa 50/50 sasa??Mlilazimisha tuwe 50/50 bwana.
Niko Tayri kupima hata Choo kikubwa....jamaa sijuhi anakwama wap.Punye imetoka mwanza?unaiachaje?Hatakuwa si Baharia huyoNipo upande wa huyo kaka kwa jambo moja tu...kukataa kupima
cutelove kupima sio jambo dogo eti,bora ingekuwa kupima malaria basi
Vipi kama ungeliwa kiboga mama ungeleta mrejesho hapa?
Hivi bado kuna mtu anatuma nauli kwa demu ambae hata hamjawahi kuonana!!? Kweli huyo jamaa ni bwege tu ndo maana ukamuacha kirahisi sana.