fazaa
JF-Expert Member
- May 20, 2009
- 2,984
- 1,031
Hello people,
Kuna mambo mengi sana yanatokea duniani kuhusu wewe na unaye mpenda, na watu wanajaribu kukosoa sehemu unayo penda.
Huu ni mmoja wa mifano na mifano iko mingi sana.
Mfano wewe umependa au umependwa, sa umpendaye anaweza kuwa anavaa vinguo kama vile vi short trousers lakini anatabia nzuri sana, yani hana upumbafu wa aina yoyote ile zaidi ya kupenda tu kuvaa vi short trousers.
Sa chukulia unakutana na rafiki zako njiani au family yako wanasema huyo mwanamke/mwanaume ni good choise yani potential future wife/husband....Matatizo yake madogo tu anavaa vi short trousers inabidi uwachane naye kama hataki kuwacha kuvaa hivyo vi short trousers, je utawasikiliza hao jamaa au utaendelea na life yako kama kawaida..
Na wakati unataka kubadili tabia ya umpendaye lazima ujuwe kuna mambo mawili....Umpendaye atakuchukia kwa kuwa una sikiliza maneno ya watu, au atakuona huna msimamo kwa umpendaye, yani unajali ya watu kuliko yake.
Si mnajua dunia hii kuna kelele nyingi, hata kiziwi kuna wakati wanasikia lakini hamjui tu.
Haya jirusheni ndani ya thread na mawazo yenu, kama wewe utachukua uamuzi gani.
Kuna mambo mengi sana yanatokea duniani kuhusu wewe na unaye mpenda, na watu wanajaribu kukosoa sehemu unayo penda.
Huu ni mmoja wa mifano na mifano iko mingi sana.
Mfano wewe umependa au umependwa, sa umpendaye anaweza kuwa anavaa vinguo kama vile vi short trousers lakini anatabia nzuri sana, yani hana upumbafu wa aina yoyote ile zaidi ya kupenda tu kuvaa vi short trousers.
Sa chukulia unakutana na rafiki zako njiani au family yako wanasema huyo mwanamke/mwanaume ni good choise yani potential future wife/husband....Matatizo yake madogo tu anavaa vi short trousers inabidi uwachane naye kama hataki kuwacha kuvaa hivyo vi short trousers, je utawasikiliza hao jamaa au utaendelea na life yako kama kawaida..
Na wakati unataka kubadili tabia ya umpendaye lazima ujuwe kuna mambo mawili....Umpendaye atakuchukia kwa kuwa una sikiliza maneno ya watu, au atakuona huna msimamo kwa umpendaye, yani unajali ya watu kuliko yake.
Si mnajua dunia hii kuna kelele nyingi, hata kiziwi kuna wakati wanasikia lakini hamjui tu.
Haya jirusheni ndani ya thread na mawazo yenu, kama wewe utachukua uamuzi gani.