. Yule demu wangu nilokua namgonga tangu akiwa form two c nilimpiga chini mwaka huu baada ya KUMGONGA sanaa (toka 2011)
Miezi miwili ya mwanzo ile nilikua mchawi kweli..
Naingia account yake ya fb. Nasoma mesages anasoma chat na watu...
Nachek whatsapp kaweka status gani na profile (kuna cku aliweka profile ya li jamaa halafu akaweka emoji za love) Ebanaee karoho kalinichupwa chupwi chupwi....
Sasa hivi anaonekana hana smartphone, maana profile yake ile ile tangu Mwezi May..
Hivi mazee toka january atakua hajapata lijamaa lingine kweli????
#Chief Eng