STUNTER
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 13,076
- 17,247
Ukiona Umeachana na Mtu halafu Bado unamfuatilia-fuatilia,na mbaya zaidi Ukiona Ameanza Kudate halafu ana Furaha wewe unanuna ujue una dalili za kuwa mchawi,anza mafunzo ya Usangoma kabisa kwa Dokta Manyau-nyau kule Tandika. Si ulisema hakufai wewe?
Ukasema Sio Type yako???Ukasema yeye ni Gogo akiwa faragha hanesi-nesi wala hatikisiki?
Ukasema hana hata hela ya kukumiliki?? SASA UNAMFUATILIA WA NINI???
You are a Witchdoctor in the Making...
Ukasema Sio Type yako???Ukasema yeye ni Gogo akiwa faragha hanesi-nesi wala hatikisiki?
Ukasema hana hata hela ya kukumiliki?? SASA UNAMFUATILIA WA NINI???
You are a Witchdoctor in the Making...