Wewe ni mfugaji, Mdadisi na mbunifu?

Wewe ni mfugaji, Mdadisi na mbunifu?

Gaddaf i06

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2022
Posts
1,770
Reaction score
2,841
Hello wana JF

Wale wafugaji wazoefu wa kuku wa kienyeji, mliowahi kufuga kuku hawa na wewe unaeendelea kufuga;
najua wewe ni mbunifu sana!

Hebu naomba tushirikishane namna/mbinu ya kutotolesha mayai kwa njia tofauti na incubators na kuku wenyewe!

Kizuri kula na mwenzio

Hilo wazo lako liweke hapa, linafaa sana

Ahsante.
 
Hello wana JF

Wale wafugaji wazoefu wa kuku wa kienyeji, mliowahi kufuga kuku hawa na wewe unaeendelea kufuga;
najua wewe ni mbunifu sana!

Hebu naomba tushirikishane namna/mbinu ya kutotolesha mayai kwa njia tofauti na incubators na kuku wenyewe!

Kizuri kula na mwenzio

Hilo wazo lako liweke hapa, linafaa sana

Ahsante.
Njia tofauti zipi? Incubator ndio njia sahihi ya kutotoleshea mayai ukiondoa Natural ways.

Sasa kama unataka kupiga hatua tafuta incubator acha kutafuta short cut then utataka ufanikowe kwa short cut,
 
Njia tofauti zipi? Incubator ndio njia sahihi ya kutotoleshea mayai ukiondoa Natural ways.

Sasa kama unataka kupiga hatua tafuta incubator acha kutafuta short cut then utataka ufanikowe kwa short cut,
asante sana. Mimi ni mfugaji na natambua uwepo wa incubator, lakini waliotengeneza hizi incubators nao walianza kwa kufikiri. incubator sio mwisho wa safari..
 
Hello wana JF

Wale wafugaji wazoefu wa kuku wa kienyeji, mliowahi kufuga kuku hawa na wewe unaeendelea kufuga;
najua wewe ni mbunifu sana!

Hebu naomba tushirikishane namna/mbinu ya kutotolesha mayai kwa njia tofauti na incubators na kuku wenyewe!

Kizuri kula na mwenzio

Hilo wazo lako liweke hapa, linafaa sana

Ahsante.
Bright wa TREE OF LIFE FOUNDATION
 
Kuna kipindi niliwahi kuona yputube jamaa flani anaelezea incubator ya kienyeji inayotumia pumba za mchele na chupa ya kaiwaida na vitu vingine kama thermometer n.k lakn sikufatilia saana maana nilihisi n kama clickbait ingine. Lakn ntaangalia zaidi.
 
Hello wana JF

Wale wafugaji wazoefu wa kuku wa kienyeji, mliowahi kufuga kuku hawa na wewe unaeendelea kufuga;
najua wewe ni mbunifu sana!

Hebu naomba tushirikishane namna/mbinu ya kutotolesha mayai kwa njia tofauti na incubators na kuku wenyewe!

Kizuri kula na mwenzio

Hilo wazo lako liweke hapa, linafaa sana

Ahsante.
Kwakweli mimi naona mtihani wa kwanza ni kulelea vifaranga, waweza totolesaha lakini kwenye malezi ikawa mtihani hapo napo tutaomba wazoefu watusaidie elimu kidogo.
 
Amina mkuu tusaidie kidogo wafugaji wachanga

mimi ninafugia nje ya mji (kijijini),

hakuna umeme, ninachopapendea ni uwazi mkubwa.
pamoja na kutokuwepo umeme, vifaranga ninalea mwenyewe na sijawahi kupata hasara.

badala ya bulb/heatnglamp nk, mimi ninatumia moto kama chanzo cha joto. (ninavyo vyungu kwa ajili ya kazi hyo)
cha kuzingatia ni banda zuri linalotunza joto, na chakula. magonjwa ni kidogo sana kijijini lakini nazingatia chanjo, mixer pilipili plus alovera!

kiufupi, nimefanikiwa kupata mbinu mbadala zote ispokuwa utotoleshaji tu
 
Back
Top Bottom