Wewe ni Mlevi wa Kitu/Jambo gani?

Wewe ni Mlevi wa Kitu/Jambo gani?

Tuwe wakweli kabisa, ni kitu gani au jambo gani umekuwa mlevi nalo, kiasi kwamba haipiti hata dakika moja ushalitamka au kulishika na mara nyingine huwezi kufanya jambo fulani hadi hicho kitu ukihusishe kwa namna moja au nyingine.

Mimi binafsi ni mlevi wa hivi vitu.
1. Simu yangu(Smart phone)

2. JF.
Hiii jaman hamna kingine kwa sasa zaidi ya sim da daftari
 
9F7D8148-67C4-44D2-9217-A3A13D1A7CBF.jpeg
C169F28C-D98D-4F5A-A63B-81F6BA37F355.jpeg
PESA PESA PESA
 
Back
Top Bottom