wewe ni mtoa huduma tu

wewe ni mtoa huduma tu

Naked

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2024
Posts
293
Reaction score
805
mdada kama una bwana ni muendesha magari yaani fuso zinazo toka nje ya nchi na kila akienda kupeleka mzigo nje na wewe unaenda kujifanya unapenda sana wakati uho mwezio jicho lake kwako ni kwa tamaa za mwili anakuona kama mtoa huduma siku huduma yako ikiisha au akiona imekuwa mbaya anatafuta mwingine na atasafiri nae bila wewe kujua kataa waendesha mafuso hao watu wanaowapenda wanawaacha nyumbani wanapumzika wewe ndio upo nginja nginja kwenye fuso unaacha kutulia kwako hupendwi
 
mdada kama una bwana ni muendesha magari yaani fuso zinazo toka nje ya nchi na kila akienda kupeleka mzigo nje na wewe unaenda kujifanya unapenda sana wakati uho mwezio jicho lake kwako ni kwa tamaa za mwili anakuona kama mtoa huduma siku huduma yako ikiisha au akiona imekuwa mbaya anatafuta mwingine na atasafiri nae bila wewe kujua kataa waendesha mafuso hao watu wanaowapenda wanawaacha nyumbani wanapumzika wewe ndio upo nginja nginja kwenye fuso unaacha kutulia kwako hupendwi
Mbona ghafla sana 😂

Kwema lakini?
 
Madereva wooote tunaenda mbinguni moja kwa moja!!

Duniani kila mtu ni jehanamu yetu tukianza na Trafiki qu^^@^^@`/0 zenu
 
kwa hiyo mmehama toka kwenye madereva wa Tank mpaka kwa wakali kwanza? sema wamba hawarembi. itakuwa kuna mtu kisha lambishwa ugoro
 
dereva wa Fuso ni Vampire, lazma akutafune, unachapwa kama gear, stop engine kwa wingii, alafu anashushia na ugoro, chuma segera inapita na uluzi mwingii, mwamba anapima temperature, ila dem ngedere gari hafai, mtakuja kufa na ajali wapuuzi nyie.
 
Kwani imekuajeee? Afu mapema mnoo Lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
mdada kama una bwana ni muendesha magari yaani fuso zinazo toka nje ya nchi na kila akienda kupeleka mzigo nje na wewe unaenda kujifanya unapenda sana wakati uho mwezio jicho lake kwako ni kwa tamaa za mwili anakuona kama mtoa huduma siku huduma yako ikiisha au akiona imekuwa mbaya anatafuta mwingine na atasafiri nae bila wewe kujua kataa waendesha mafuso hao watu wanaowapenda wanawaacha nyumbani wanapumzika wewe ndio upo nginja nginja kwenye fuso unaacha kutulia kwako hupendwi
Unajaribu kuharibu ndoa yangu? Siachwi ng'oo
 
Back
Top Bottom