Brownj
Senior Member
- May 8, 2017
- 139
- 80
- Thread starter
- #21
Asante sana brother kwa kunitia moyo hakika Jf kuna kila aina ya watukwanza pole sana mwanaJF mwenzangu kwa kusitisha masomo kwa sababu iiyo nje ya uwezo wako. hakika wakati wa MUNGU ukifika hakutakuwa na kikwazo cha wewe kusonga mbele. kwa mtaji wa 1M ni mkubwa sana na pia nakusifu kwa kujikusanya mpaka kufikia kiasi hiko kingi. kuna mdau kashauri uende shamba, YES ni wazo zuri lkn kama huna ardhi, chanzo cha maji na pembejeo nyingine ni bora kwanza ukakuza mtaji wako ama ukau-reserve huo ushauri manake safari inaweza kuishia njiani kama huna hivyo vitu tajwa hapo juu.. lakini pia kuna mdau kakushauri ufuge napia huu ni ushauri BOMBA sana lkn pia kama huna BANDA ama sehemu ya kuhifadhia mifugo yako, ni vigumu (kama uko nyumba ya kupanga) sana kuendesha hii biashara. sasa iko hivi ..HUMU jf kuna watu wenye upendo na moyo wa kujitolea mawazo mbali mbali juu ya kuinuana na kadhalika. sasa basi mimi nakushauri chukua ushauri lkn uchuje na kuona kipi unaweza kufanya kulingana na STRENGTH yako kimtaji. Kuna mdau pia kashauli ujihusishe na kibanda cha chips pia ni ushauri mzuri sana...
nakutakia kila la kheri na MUNGU akuongoze katika kutimiza ndoto yako BROTHER
remain blessed broo[emoji120] [emoji120] [emoji120]