Mimi hapa.
Ni Pm
Acha ubaguzi wa rangi ndugu!!
jamani mke wangu!nini tena kusaka mume huku?....dah jamani?
Mimi hapa.
Ni Pm
Hahhahha wifi acha kunichomoa mbavu, inamaana kile cheo mlichonipa na Nascoba ni fake hahahaha
Hahahah hii nimeipendajamani mke wangu!nini tena kusaka mume huku?....dah jamani?
Pm me Nascoba
Teh teh nimepata shushu hahah! Anyways hongera n wishn u luckNakushukuru kwa kuonyesha nia lakini nasikitika kukuarifu kwamba tayari nimebahatika kumpata madame B,
Asante sana.
Teh teh nimepata shushu hahah! Anyways hongera n wishn u luck
Sio shushu bwana ni taarifa tu,take it easy.
Yaani Wifi yangu ondoa shaka na hofu Moyoni mwako.
Cheo chako kiko palepale.
Nakitunza kama mboni yangu.
Yani Lady G,usiwe na haraka,c unajua mambo taratibu?
Kaka'ko mwenyewe amesafiri,mpaka arudi.
hihihihih kweli wifi yangu we ni wamujini, kaka akiondoka .............hhaahah