mimi ni kijana mtanzania mwenye umri wa miaka 30,natafuta girl friend mwenye sifa zifuatazo:
Umri asizidi miaka 40,
Dini yeyote
Kabila lolote
Awe mweusi na kama ni weupe sharti uwe wa asili.
Awe mwenye kuamini uwepo wa mungu.
Kuhusu ndoa tutapanga baada ya kuridhiana.mwenye kuwa tayari anipm.
Nb:ukiona mawasiliano yanalegalega niko igunga nasafiri kwenda burundi mara moja.
Umri asizidi miaka 40,
Dini yeyote
Kabila lolote
Awe mweusi na kama ni weupe sharti uwe wa asili.
Awe mwenye kuamini uwepo wa mungu.
Kuhusu ndoa tutapanga baada ya kuridhiana.mwenye kuwa tayari anipm.
Nb:ukiona mawasiliano yanalegalega niko igunga nasafiri kwenda burundi mara moja.