Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
🫵Wewe ni wewe katika maisha ni wewe ukilia ni wewe ukifurahi ni wewe ukibakwaa ni wewe maana kila kitu kipo juu yako ni wewe.
🫵Ukiwa bora ni wewe ukishindia dagaa ni wewe jikubali katika haya maisha ni wewe acha kudandia mtumbwi ambao sio wako wewe.
🫵Naongea na wewe maana unaiga maisha yana wenyewe kila kitu unachokifanya kina kuhusu wewe.
🫵Ukisemwa achana nao fanya mambo yako wewe maana ukifanikiwa unafanikiwa wewe mwenyewe na ukiumwa unaumwa mwenyewe sio yule ila ni wewe.
🫵Hujanielewa au hujanipata bado wewe ulimwengu wako wewe na siku utakao vua mwili ni wewe sio nyoka wala sio ng'ombe wewe yaaani ni wewe.
🫵Au niongeze sauti hujanielewaaaa wewee, vuta mibangi na unapo kunywa pombe unaye haribikiwa ni wewe angalia usizime ukapasuliwa mayai wewe maana kuna vijana wa hovyo nakwambia wewe.
🫵Ukifanywa vibaya aibu sio ya yule wala sio ya huyu ni yako wewee.
🫵Hii post mjanja ananielewa wewe usipo nielewa wewe ila ata nielewa yule itamfikia na atapata habari wewe.
🫵Mwili ni wako wewe na roho yako wewe ukiamka kiroho ukipata mafanikio na utambuzi unajiongoza wewe.
🫵Naongea na wewe kiakili ukinifikiria kama na rap sawa ila nakupa ujumbe uliokuwa bora ili ujiongoze wewe.
🫵Jitafute wewe ili usiwe mtumwa wa fikra wewe au unaimani ya injili ili usafiri ktk imani ya akili wewe.
🫵Ukiwa maskini ni wewe na ukiwa tajiri ni wewe au unafikiri yule akija atakupa utajiri bila ya kujiajili wewe.
🫵Nakuandikia ujumbe wewe ila uongo dhambi nakupenda sana wewe maana mimi ni mwalimu wako wewe ni wa upendo sana kuliko mwalimu wako wa hesabu wewe.
🫵Ukinichukia ni chukie tuu wewe ila nakupenda wewe kwa kukuandikia masomo mbalimbali ili ujikomboe na kujielewa wewe.
🫵Nikutakie mafanikio mema na familia yako kiujumla na ongeza juhudi ili mwanao afate nyayo zako wewe.
BY
DR CHAZZ
🫵Ukiwa bora ni wewe ukishindia dagaa ni wewe jikubali katika haya maisha ni wewe acha kudandia mtumbwi ambao sio wako wewe.
🫵Naongea na wewe maana unaiga maisha yana wenyewe kila kitu unachokifanya kina kuhusu wewe.
🫵Ukisemwa achana nao fanya mambo yako wewe maana ukifanikiwa unafanikiwa wewe mwenyewe na ukiumwa unaumwa mwenyewe sio yule ila ni wewe.
🫵Hujanielewa au hujanipata bado wewe ulimwengu wako wewe na siku utakao vua mwili ni wewe sio nyoka wala sio ng'ombe wewe yaaani ni wewe.
🫵Au niongeze sauti hujanielewaaaa wewee, vuta mibangi na unapo kunywa pombe unaye haribikiwa ni wewe angalia usizime ukapasuliwa mayai wewe maana kuna vijana wa hovyo nakwambia wewe.
🫵Ukifanywa vibaya aibu sio ya yule wala sio ya huyu ni yako wewee.
🫵Hii post mjanja ananielewa wewe usipo nielewa wewe ila ata nielewa yule itamfikia na atapata habari wewe.
🫵Mwili ni wako wewe na roho yako wewe ukiamka kiroho ukipata mafanikio na utambuzi unajiongoza wewe.
🫵Naongea na wewe kiakili ukinifikiria kama na rap sawa ila nakupa ujumbe uliokuwa bora ili ujiongoze wewe.
🫵Jitafute wewe ili usiwe mtumwa wa fikra wewe au unaimani ya injili ili usafiri ktk imani ya akili wewe.
🫵Ukiwa maskini ni wewe na ukiwa tajiri ni wewe au unafikiri yule akija atakupa utajiri bila ya kujiajili wewe.
🫵Nakuandikia ujumbe wewe ila uongo dhambi nakupenda sana wewe maana mimi ni mwalimu wako wewe ni wa upendo sana kuliko mwalimu wako wa hesabu wewe.
🫵Ukinichukia ni chukie tuu wewe ila nakupenda wewe kwa kukuandikia masomo mbalimbali ili ujikomboe na kujielewa wewe.
🫵Nikutakie mafanikio mema na familia yako kiujumla na ongeza juhudi ili mwanao afate nyayo zako wewe.
BY
DR CHAZZ