Maskiini..Kwa jinc nnavyowajua kina dada basi apa tayari keshaulumiwa mtu[emoji23][emoji23]
Inasikitisha sana
[emoji23][emoji23] kwel Smart911 ni mvumilivu sana yn kupondwa kote uko lkn umempa mda mtoa mada much respect bro
Ni lini ulianza hizo bangi 😂😂[emoji23][emoji23] Ngoja aje kukupa mwongozo.
Cc mahondaw
Member since 26th July this year
Kati ya ww na yeye ni nani mmiliki wa hii id iliyoleta mada?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tena wanabisha kwa kujimwambafai