Kete Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 6,656
- 6,886
Mchoraji mzuri hadi leo nawafanyia manuva watoto wangu home wakati tukifanya homework inayohusiana na kuchora.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
manundaaHahaaha daah sio mchezo nilikua na rafiki yangu alirusha baruti moja imetengenezwa na choki ya pikipiki huku imefungwa manyoya ya kuku.
Stori ilikua kuna ticha wa hesabu alikua mnaa sasa akatupiwa hiyo baruti akiwa anatembea kwenye korido akielekea darasani, Kilichotokea hapo acha tu kwani alienda kwa mwalimu mkuu kwamba katupiwa bomu hahahaaha.
[emoji23] [emoji23] usinikumbushe nilisoma shule wale majamaa ni wakubwa kama baba yangu aisee walikua ni wakorofi wa karne,likikusogelea unatetemekaHaaa haaa haaa huko n noma
Af enz hzo watu n wakubwa co now
Kuna vitoto vdgo yan unaweza sema havikui
Wacha wenlikuwa mkali wa soka, tokea primary, sec, advance, chuo,
kote huko nlikiwa moto wa kuotea mbali
Ndo mana ninindo maana[emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]hahaahhahh, tena nasikia alikuwa ameinama tu hata hakunyanyua kichwa kuona wapiga kelele,, hahahahahaahahaa
Wewe ni mimi kasoro back bencher,mi nilikua sikai mbele wala back benchers,ila mdomo haukuwahi kufumbaMpiga kelele, mchelewaji, back bencher, mmbea.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Wewe ni mimi kasoro back bencher,mi nilikua sikai mbele wala back benchers,ila mdomo haukuwahi kufumba
hadi humu naziona keleleNdo mana nini
hapo kwenye kuchora...na soccer mzee baba"" palinipa sana heshima aiiseeeeeIzi ukiwa na hichi kipicha chake utapendeza zaidiView attachment 746307
Alafu wakali wa soccer tukutane hapa