Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Duh! Huyu naye aliliwa, nilijua ni jamaa wa kijani......ila Watz wamerudi nyuma miaka mingi sana, watakaa waandike kwenye vitabu vya historia namna gani waliharibu wakiona kwa macho yao wenyewe. Miaka ijayo mitano bila mtu wa kuhoji ubabe wa serikali ni jambo la hatari sana.
Rais katuharibia nchi sana huyu jamaa hata mambo ya IS ni kwa sababu yake