Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Duh! Huyu naye aliliwa, nilijua ni jamaa wa kijani......ila Watz wamerudi nyuma miaka mingi sana, watakaa waandike kwenye vitabu vya historia namna gani waliharibu wakiona kwa macho yao wenyewe. Miaka ijayo mitano bila mtu wa kuhoji ubabe wa serikali ni jambo la hatari sana.
Wewe jamaa ni mshamba kupindukia. Yaani leo hii wewe mnyamwezi ndio unakashifu kiswahili cha wa 'Thenashara Taifa', koo kumi na mbili za waswahili(wamvita). Ambao ndio waliibuka na jina Dongo Kunduu, kumaanisha sehemu ambayo ina udongo mwekundu. Kwahivyo inamaanisha kwamba jina Nairobi linatumiwa vibaya pia? Maanake kwa kimaasai ni 'Enkare Nairobi', kumaanisha sehemu yenye maji baridi.
Kiswahili na Kenya wapi na wapi? Ingekua ndio watanzania tuna ongea English hivyo dunia ingetushangaa, wanaongea kiswahili cha chooni.Huyo Mtangazaji anaongea kama mtoto anayejifunza Lugha ya Kiswahili anachefua tu.
Sina muda wa hizi pumba zako, sasa imekuwa ni wakoloni na mabeberu, hapo awali ilikuwa ni wakenya wa Mombasa. Alafu mbona Dongo, Kundu zinaisha na silabi 'o' na 'u'? Hujatia mguu wako ndani ya Mwambao, hilo lipo wazi, ndio maana unatapatapa tu.Lugha ya Kiswahili fasaha hakuna kitu kama dongo kundu, walioita dongo kundu siyo watu wa Mombasa bali ni Muzungu na sababu ni kwamba Muzungu kulingana na lugha yake germanic ni ngumu sana kutamka, mwe- kundu anatamka tu kundu kwa kurahisisha lkn...mfano timu ya mpira inaitwa young african lkn tunaita Yanga, kwa sababu ya kibantu, ni lazima neno liishie na silabi aeiou.
Umesema wabantu wote wanaweza kusoma na kutamka maneno yote ya 'kibantu'. Haya kazi kwako, hiki hapa ni Kikikuyu. "Cúcú ciere ciana ciaku ciothe ciathie ciira ciorio ciuge ciea ciothe ciare ciaku."...nilifika Mombasa huko Wakenya udongo mwekundu, wao wanaita dongo kundu...
Sina muda wa hizi pumba zako, sasa imekuwa ni wakoloni na mabeberu, hapo awali ilikuwa ni wakenya wa Mombasa. Alafu mbona Dongo, Kundu zinaisha na silabi 'o' na 'u'? Hujatia mguu wako ndani ya Mwambao, hilo lipo wazi, ndio maana unatapatapa tu. Umesema wabantu wote wanaweza kusoma na kutamka maneno yote ya 'kibantu'. Haya kazi kwako, hiki hapa ni Kikikuyu. "Cúcú ciere ciana ciaku ciothe ciathie ciira ciorio ciuge ciea ciothe ciare ciaku."
Sasa mbona marehemu ni neno la Kiarabu? Ni bora hao watu wako wa Malindi.Washenzi nq misamiati yao ovyo ovyo. Mbona watu wa malindi wale ndio wa bantu pure na wana misamiati pia ya kijinga jinga
Eti marehemu wanaita mwendazake ....sasa mwenda zake ndio upuuzi gani yaan wao wame pindua the dead one ...wakaona waite mwendazake ....hawa ndio wana chukua nafasi nq kwenda kuwafundisha watu kiswahil kibovu huko majuu
Nimekueleza hivyo nikikurai utupie hoja ambazo zina mashiko na ambazo zina misingi ya 'facts'. Sio hizo pumba na hadithi za Abunuwasi. Ila walisema wazee wa ndemi na mathathi kwamba sikio la kufa halisikii dawa. Kwahivyo usiwe na presha, uwanja ni wako.Unafikiri hawajui? Wanajua sana kama ni ulisikia lkn wanajifanya Wazungu, kwa hiyo ,, u '' ili waitamke wanaandika ,,oo'' oolisikia, hao jamaa wajinga sana nilifika Mombasa huko Wakenya udongo mwekundu, wao wanaita dongo kundu, si unaona hata Hujambo wanasema jambo, yote hii ni kujifanya Wazungu, Kibera wanaita kibra, lkn cha kushangaza labda kuliko vyote, Wakenya wengi ni Wabantu hivyo kama anaweza kuongea kikikuyu hawezi kushindwa kusema udongo mwekundu, au hujambo badala ya jambo, au Mkikiuyu hawezi kushindwa kusoma ulisikia mpaka aandike oolisikia
Tena 'mwendazake' ni kiswahili sanifu kabisa, sio kiswahili cha Malindi na linatumiwa na watu wengi zaidi nchini Kenya.Sasa mbona marehemu ni neno la Kiarabu? Ni bora hao watu wako wa Malindi.
Boya huyo achana nayeSasa mbona marehemu ni neno la Kiarabu? Ni bora hao watu wako wa Malindi.
Una evidence gani kuwa Mzungu ndiye aliyetamka neno "dongo kundu?'Sielewi unachomaanisha unaweza kufafanua kama ukipenda, BTW kwenye Lugha ya Kiswahili fasaha hakuna kitu kama dongo kundu, walioita dongo kundu siyo watu wa Mombasa bali ni Muzungu na sababu ni kwamba Muzungu kulingana na lugha yake germanic ni ngumu sana kutamka ,,mwe- kundu“ hivyo anatamka tu kundu kwa kurahisisha lkn Mkenya hawezi kushindwa kutamka mwekundu ni kama sisi kwetu mfano timu ya mpira inaitwa young african lkn tunaita Yanga, kwa sababu ya kibantu, ni lazima neno liishie na silabi aeiou, Mswahili hawezi kulitamka neno la Germanic vizuri ni lazima ataongeza silabi mwisho Julius atasema Juliasi, John atasema Joni n.k., ...
Kawaida ya wakenya kufuatilia kila particle inayopatikana Tanzania, hata piere liquid walimpokea kama umeme.Huyu mwamba ni maarufu sana Kenya kuliko hata jimboni kwake ila wakenya wanamtumia kama meme😂😂
We zwa zwa kweli yaan onset ya kiswahili una hoji uwezo wetu .... ZERO wwJinsi mnavyoona msamiati wetu ni wa kijinga ndivyo tunavyoona msamiati wenu ni wa kijinga. Shida yenu hamuelewaki linguistics.
We zwa zwa kweli yaan onset ya kiswahili una hoji uwezo wetu .... ZERO wwJinsi mnavyoona msamiati wetu ni wa kijinga ndivyo tunavyoona msamiati wenu ni wa kijinga. Shida yenu hamuelewaki linguistics.
We zwa zwa kweli yaan onset ya kiswahili una hoji uwezo wetu .... ZERO wwJinsi mnavyoona msamiati wetu ni wa kijinga ndivyo tunavyoona msamiati wenu ni wa kijinga. Shida yenu hamuelewaki linguistics.
Acha uzero ww, moja kati ya utajili wa lugha ya kiswahili ni uwezo wake wa kutohoa misamiatiSasa mbona marehemu ni neno la Kiarabu? Ni bora hao watu wako wa Malindi.
Sasa nani zero hapa kama siyo wewe?Acha uzero ww, moja kati ya utajili wa lugha ya kiswahili ni uwezo wake wa kutohoa misamiati
Mbona ata neno Meza pia limetoholewa
Na ukumbuke chimbuko la lugha ya kiswahil ni pqmoja na lugha ya koaarabu
Hiyo ni lugha gani umeandika? Andika kwa lugha inayoeleweka ndio tuongee.We zwa zwa kweli yaan onset ya kiswahili una hoji uwezo wetu .... ZERO ww
Sawa na kusema ww na kq engglish kako broken ukahoji misamiati ya waingereza ....
You like it or not, Kiswahili chimbuko na magwiji wa hii lugha wapo hapa Tz
Acheni kuharibu lugha
Zero ni ww .... Maana hujielewi una comment kwa kiherehere sanaaaa tulia kidogoSasa nani zero hapa kama siyo wewe?