nimejifunza kwamba mdomo ndio ulimponza kichwa 🐒Kwa upande wangu kupitia matokeo ya first leg nimejifunza ni kwanini Mamelod walikuwa wanalilia kupangwa na SimbaView attachment 2949938
First half Yanga SC 76% VS 24% Mamelody SundownsMamelodi walilia kupangwa na simba ili wacheze na timu inayoweza kuwachallenge yanga wameishia kupaki bus kama vile wao ndo wako ugenini na mechi imepoteza ladha
Why first half? Weka possession ya FTFirst half Yanga SC 76% VS 24% Mamelody Sundowns
On target Yanga SC 3 VS 1 Mamelody Sundowns
Nani kapaki basi hapo au mpira ni second half tu?
Aden Rage ajengewe sanamu "Mbumbumbu".
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Unahitaji matibabu mkuu! Am very serious! Yani unaumwa kabisa.Mamelodi walilia kupangwa na simba ili wacheze na timu inayoweza kuwachallenge yanga wameishia kupaki bus kama vile wao ndo wako ugenini na mechi imepoteza ladha
UMEKOSA...mamelodi alimtaka kolo kwasababu kolo ni kitonga kwenye hatua hizi ndo zake kutolewaMamelodi walilia kupangwa na simba ili wacheze na timu inayoweza kuwachallenge yanga wameishia kupaki bus kama vile wao ndo wako ugenini na mechi imepoteza ladha
Na timu pekee iliyoingia robo fainali ikiwa sio Bingwa wa Nchi ilipotoka.
vyura hao,,wamebong'oa🤣😅
Labda ulikuwa na channel yako ya mpirqFirst half Yanga SC 76% VS 24% Mamelody Sundowns
On target Yanga SC 3 VS 1 Mamelody Sundowns
Nani kapaki basi hapo au mpira ni second half tu?
Aden Rage ajengewe sanamu "Mbumbumbu".
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app