King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,855
- 24,925
hizo shida zao huko ulaya. huku kwetu we have plenty of father figures. kama baba akijiweka pembeni kuna ma-uncle ukianzia kakake mama, marafiki zao, hadi baba mwenye nyumba! yaani kuna undugu mwingine hao wenye waume wa kizungu sijui wanatumia vocabulary gani kuwaelezea! me lov africa bana!