hizo shida zao huko ulaya. huku kwetu we have plenty of father figures. kama baba akijiweka pembeni kuna ma-uncle ukianzia kakake mama, marafiki zao, hadi baba mwenye nyumba! yaani kuna undugu mwingine hao wenye waume wa kizungu sijui wanatumia vocabulary gani kuwaelezea! me lov africa bana!
Nina ndugu yangu kalea watoto wake mwenyewe kwa mahangaiko, ajabu mtoto wake wa kike amekua mkubwa hamheshimu hata kidogo, mchoyo sana hata ndugu wakienda anamind chakula, anadharau sana,ana mdomo ni hatari,na anajua fika mama yake alivokuwa anahangaika kuwalea,yaani sie huwa tukimdiscus tunasema ni malezi ya mama peke yake ndio maana kawa vile angekuwepo baba yake ile dharau na jeuri isingekuwepo, na mama yake pia akiwa anamkaripia, anamwambia unanidharau mim ingekuwa baba yako usingemdharau
Ni tabia yake....wako watoto kibao wamelelewa na wazazi wote na mgeni akija akatengewe chakula mashavu kule japo hajanunua yeye.Na wengine dharau kwa wazazi wao wote kama vile walijileta duniani na kujilea wenyewe.
yaani umefunga kazi kabisa......
sante sana..
<br /><br />lakini baba anawezaje kumfanya mtoto awe anti social, huenda mchango wa mama ndo mkubwa zaidi kwa sababu muda mwing hukaa na watoto hasa kwenye hatua ya ukuaji.<br /><br />
Nakubali lakini kwa kiasi kidogo.