Wewe unasemaje kuhusu hili

hizo shida zao huko ulaya. huku kwetu we have plenty of father figures. kama baba akijiweka pembeni kuna ma-uncle ukianzia kakake mama, marafiki zao, hadi baba mwenye nyumba! yaani kuna undugu mwingine hao wenye waume wa kizungu sijui wanatumia vocabulary gani kuwaelezea! me lov africa bana!
 
Nina ndugu yangu kalea watoto wake mwenyewe kwa mahangaiko, ajabu mtoto wake wa kike amekua mkubwa hamheshimu hata kidogo, mchoyo sana hata ndugu wakienda anamind chakula, anadharau sana,ana mdomo ni hatari,na anajua fika mama yake alivokuwa anahangaika kuwalea,yaani sie huwa tukimdiscus tunasema ni malezi ya mama peke yake ndio maana kawa vile angekuwepo baba yake ile dharau na jeuri isingekuwepo, na mama yake pia akiwa anamkaripia, anamwambia unanidharau mim ingekuwa baba yako usingemdharau
 

yaani umefunga kazi kabisa......
sante sana..
 

Ni tabia yake....wako watoto kibao wamelelewa na wazazi wote na mgeni akija akatengewe chakula mashavu kule japo hajanunua yeye.Na wengine dharau kwa wazazi wao wote kama vile walijileta duniani na kujilea wenyewe.
 
i totally agree with this. strangely mimi huwa nadhani watoto waliolelewa na single parents huwa wako ery responsible and loving. manake nadhani wanajua nini maana ya ku-rely on each other. i was hugely impressed by Ben Carson's autobiography. mamake alikuwa black maid in a white neighborhood. the story is very touching! pengine hao wenye dharau na uchoyo ni tabia tu wameiga kwa mzazi ila haihusiani na kulelewa na single parent!
Ni tabia yake....wako watoto kibao wamelelewa na wazazi wote na mgeni akija akatengewe chakula mashavu kule japo hajanunua yeye.Na wengine dharau kwa wazazi wao wote kama vile walijileta duniani na kujilea wenyewe.
 
hahaha,kuna rafiki yangu (ni mtu mzima kidogo), babake kazaa na wanawake kama 6 tofauti. sasa yeye kaolewa na mzungu. akianza kutoa intro anamuambia tu 'there is no english word for this, bt she/he is my relative..'. manake sasa unakuta ni step brother wa step brother wako? sijui hata kama na ww umeelewa,hehehe! ila unakuta ndo mnapendanaa wenyewe,raha tupu!
yaani umefunga kazi kabisa......
sante sana..
 
Hi research ina ukweli kwa sababu kuna raia kadhaa nikiwacheki wanaelekea na maelezo hapo juu!!!
 
lakini baba anawezaje kumfanya mtoto awe anti social, huenda mchango wa mama ndo mkubwa zaidi kwa sababu muda mwing hukaa na watoto hasa kwenye hatua ya ukuaji.&lt;br /&gt;<br />
Nakubali lakini kwa kiasi kidogo.
&lt;br /&gt;<br />
<br />
\<br />
<br />
<br />
<br />
FB yanayozungumziwa hapa ni instincts ambazo zinahusisha nervious system at subconscience<br />
level( cerebral cortex haihusikidirectly lakini inahusisha hypothalamus na rafiki zake wa karibu au lymbic system).Yaani hapa huwezi kufikiri kufanya kitu kwa maana ni coded tayari ndani ya mwili wako.You simply do it,Mfano hiyo hormone inaongezeka tu mwilini mwako bila ww kujua.
Kwa mfano:Kuna mtu anakuambia ucheze na mtoto wako?Inatokea tu.You just do it.<br />
<br />
Na si instncts zote mtu anazaliwa nazo ndio maana mchango wa wanaomzunguka mtoto unakuwa wa muhimu.<br />
<br />
Kutokana na ujuzi huu unaweza kabisa kuona huyu mtoto alikuwa adopted au alikulia kwa bibi na vitu vingine vingi.<br />
<br />
We are biologically connected to both parents that is why changes occur in both parents kama umesoma vizuri hapo juu.So if bound is broken ndio disaster kama hizo <br />
antisocial na tabia zingine za kinyama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…