Wewe unatabia ya mnyama gani kati ya hawa?

mkuu me nahisi nin tabiaza fis japo hujamweka hp, maana napenda sana vyadezo
 
Mallata jr nasubiri tabia za CHUI tafadhali
 
Last edited by a moderator:
Hakuna kenge........?......hebu weka tabia ya kenge........
 
Mkuu Mi Nimerandisha Buibui Kwa Kila Kitu
Huwa Najifanya Mbiga Ili Kuwasogeza Maadui Kwanye Mitego Yangu
Jigo
 
Mkuu Mi Nimerandisha Buibui Kwa Kila Kitu
Huwa Najifanya Mbiga Ili Kuwasogeza Maadui Kwanye Mitego Yangu
Jigo

buibui ana tabia ya kujihami na ni mdudu ambaye anamitego ya kunasa vitu vzur. kwahyo mkuu unamitego ya kunasa watoto wazuri
 
buibui ana tabia ya kujihami na ni mdudu ambaye anamitego ya kunasa vitu vzur. kwahyo mkuu unamitego ya kunasa watoto wazuri

Hahahah
Uko Sahihi Mkuu
Ila Kuna Watoto Hawakamatiki
 
mkishamaliza kujitaja mtanikuta mezani natafuna minofu yenu haswa ya sungura...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…