Wewe unatabia ya mnyama gani kati ya hawa?

Wewe unatabia ya mnyama gani kati ya hawa?

Mallata jr nasubiri tabia za CHUI tafadhali
 
Last edited by a moderator:
Hakuna kenge........?......hebu weka tabia ya kenge........
 
Mkuu Mi Nimerandisha Buibui Kwa Kila Kitu
Huwa Najifanya Mbiga Ili Kuwasogeza Maadui Kwanye Mitego Yangu
Jigo
 
Mkuu Mi Nimerandisha Buibui Kwa Kila Kitu
Huwa Najifanya Mbiga Ili Kuwasogeza Maadui Kwanye Mitego Yangu
Jigo

buibui ana tabia ya kujihami na ni mdudu ambaye anamitego ya kunasa vitu vzur. kwahyo mkuu unamitego ya kunasa watoto wazuri
 
mkishamaliza kujitaja mtanikuta mezani natafuna minofu yenu haswa ya sungura...
 
Back
Top Bottom