Wezi waiba daraja India

Wezi waiba daraja India

Kundi la wezi likiwa na vifaa vizito nchini India wameliiba daraja la chuma lenye uzito wa tani 550.Tukio hili limefanyika kwenye mto wa Ara Sone jimbo la Bihar .
Wezi hao walifanikisha wizi huo kwa muda wa siku tatu wakianza shughuli zao kuanzia saa moja na nusu kila siku huku wakiwa wamevaa sare za wafanyakazi wa Serikali.
Vifaa vilivyotumika kuiba daraja hilo ni pamoja na tinga tinga aina ya jcb lililochimbua nguzo na tochi za kukatika vyuma
View attachment 2189579 Kabla ya wizi

View attachment 2189586
Huko kwetu swax watu wamevamia misalaba ya chuma makaburini wanaenda kuuza kama chuma chakavu
 
Kundi la wezi likiwa na vifaa vizito nchini India wameliiba daraja la chuma lenye uzito wa tani 550.Tukio hili limefanyika kwenye mto wa Ara Sone jimbo la Bihar .
Wezi hao walifanikisha wizi huo kwa muda wa siku tatu wakianza shughuli zao kuanzia saa moja na nusu kila siku huku wakiwa wamevaa sare za wafanyakazi wa Serikali.
Vifaa vilivyotumika kuiba daraja hilo ni pamoja na tinga tinga aina ya jcb lililochimbua nguzo na tochi za kukatika vyuma
View attachment 2189579 Kabla ya wizi

View attachment 2189586

India nako Serikali imelala kama bongo​

 
Kundi la wezi likiwa na vifaa vizito nchini India wameliiba daraja la chuma lenye uzito wa tani 550.Tukio hili limefanyika kwenye mto wa Ara Sone jimbo la Bihar .
Wezi hao walifanikisha wizi huo kwa muda wa siku tatu wakianza shughuli zao kuanzia saa moja na nusu kila siku huku wakiwa wamevaa sare za wafanyakazi wa Serikali.
Vifaa vilivyotumika kuiba daraja hilo ni pamoja na tinga tinga aina ya jcb lililochimbua nguzo na tochi za kukatika vyuma
View attachment 2189579 Kabla ya wizi

View attachment 2189586
Siyo "wezi" hao.Ni kampuni ya uchukuzi wa mizigo ambayo haijasajiliwa.😂😂😂
 
Siyo "wezi" hao.Ni kampuni ya uchukuzi wa mizigo ambayo haijasajiliwa.😂😂😂
Kama ni hivyo afadhali angalau wangeliimarisha hilo daraja.Sasa kuondoka nalo na halijapatikana bado watapita wapi hata wao wenyewe.
 
rekodi ninazozikumbuka za wizi ilikuwa ni wale waliosimamisha ndege kati kati ya uwanja kabla kuruka na kuiba pesa Nigeria, na kule Afrika kusini waliofungua ATM machine na kuondoka nayo.Hii ya kuiba daraja kwa siku tatu asubuhi mpaka muda wa kazi halafu kurudia kesho yake mpaka kazi ikaisha tena mchana bila shaka itakuwa imevunja rekodi

Hizo zote trela. Fatilia bombay jewery heist ya late 80s... hiyo ni perfect crime ilifanyika india pia
 
India hata mchanga wa kujengea ni wa magendo yani sawa na biashara ya dawa za kulevya.
India underworld wana nguvu na ukikichanganya umekufa
 
Hizo zote trela. Fatilia bombay jewery heist ya late 80s... hiyo ni perfect crime ilifanyika india pia
India pia !!Hebu simulia kidogo.Sidhani kuwa hiyo ni kali kuliko hii.
 
Hii inaitwa brigde heist Kwa wazee wa movie. Ifatilie utaiona tuu imetokanmwaka huu mwezi wa nne sijui tarehe
 
Back
Top Bottom