What a sign! Duke Abuya ndiye best sign kwa Yanga

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
15,966
Reaction score
26,404
Bodies of jf, i salute you!

Usajili wa yanga kwa wachezaji wapya umesemwa sana sana!

Wapo waliosema yanga kwa Chama wamelamba dume, wapo waliosema yanga kwa Dube wamelamba dume!

Wapo waliosema kwa Boka tumelamba dume!

Lakini kijana mmoja wanamsahau ambaye mimi naona ndiye most dangerous player 🍑..

Kijana mkenya Duke Abuya ndiye the most perfect sign kwa yanga .

Tukumbuke usajiri wa max haukuzungumziwa sana kama.hawa kina chama..

But Duke anakwenda kuwa mchezaji muhimu sana pale yanga.

He is versatile player, anacheza winga ya kulia, kushoto,
Anaweza kucheza nyuma ya namba tisa, ooh man πŸ”₯

Anakwenda kuwa max mpia mwengine pale yanga.

Ukimuhitaji afukie mashimo yanatokana na gap za kina pacome basi Duke anaweza πŸ”₯

Ukitaka acheze kwenye flanks basi hapo ndiyo πŸ”₯.

Zaidi Duke ana pumzi ya kutosha na uwezo mkubwa wa ku create nafasi na kuficha mpira, rejea alipokuwa singida ile na hii ihefu (singida bs).

Huu uzi utakuwa ushahidi mzuri mbeleni

Let's wait ⌚

Its Pancho
 
Huyu si aliachwa na timu yake?
 
Unataka kusemaje, kwamba wanachukuliwa walioachwa? Hata kama wameachwa, sisi watatufaa. Mfano ni Okrah na Mkude, wametusaidia
Means
Kuachwa kwa mchezaji haina maana mbaya au mzuri sana

Vyote vinaweza tokea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…