What a surprise, Al-Jawlani, the head of HTS that overthrew Syria President, is Jewish !

What a surprise, Al-Jawlani, the head of HTS that overthrew Syria President, is Jewish !

Ule utulivu wa Wa Al-Jawlani kwa jicho la ndani unatoa tafsiri fulani kubwa sana.

CIA na Mossad ni back to back agents ambao malengo na operations zao ni nyingi sana.
Long term plan na short term plan zao ni hatari sana maana zina uwanja mpana na zinahisisha watu wa Kila aina kwa maslahi yao mapana.

Ni KGB/FSB anayeweza kupambana na hawa watu japo matatizo ya kiuchumi pia yameizoofisha Russia na taasisi zake nyeti.

Inawezekana malengo ya muda mrefu ya CIA na Mossad kwa Al-Jawlani yamejibu na kuleta matokeo chanya wakati muafaka ambapo Israeli alikuwa kitanzini dhidi ya Hizbollah na Iran, kama ni kweli basi hii itakuwa karata muhimu sana kwa mazayuni na USA na hasara kubwa sana kwa Iran, Hizbollah, Palestina, Syria nk. Tunasema the manipulation of middle east is going well.
 

What a surprise!?!?​

Al-Jawlani, Head of HTS That Overthrew Syria President, is Jewish . . .​


Hal Turner World December 29, 2024
Al-Jawlani, Head of HTS That Overthrew Syria President, is Jewish . . .


What a surprise!?!?! The Head of HTS, a.k.a. "ISIS," a.k.a. "Al Qaeda," which overthrew Syrian President Bashar Assad, is Jewish, and graduated from the Islamic School of Jurisprudence, in Tel Aviv. How many other "Head-choppers" are also Israeli Mossad?
According to Israel's YNET News, Abu Muhammed Al-Jawlani was born Yonatan Avi-David, and is a Mossad Mole.
He adopted the fake identity Abu Muhammed Al-Jawlani and became the head of the International Terrorist Group Hay'at Tahrir al-Sham (HTS).

The story above, from YNET News in Israel, published August 27 of the year 2013, reveals the ugly truth.
Clearly, this is why Jawlani and all of his underlings, who are in the process of installing themselves as "officials" in the new Syrian "government" (they overthrew the old one) have made clear "Syria will not be a place from which Israel is attacked.
All the troubles with "Rebels" in Syria? It was Israel all along.
Kazi kweli kweli...

Au ndio maana amesalia kimya huku Israel akizidi kumega ardhi ya Syria?
 
Vitu gani wanafanya?
Vingi tu,pamoja na hili pa Israel kujigawia Syria Kwa kutumia mtu wao.Jamani someni,tafuteni taarifa,you are so ignorant.Hivi mnajua kweli ninyi kwamba you are encircled na the carrot of loving games na ujinga mwingine,ni kama mtoto kupewa pipi ili mama afanye kazi zake?Wake up you people,mmelala mno.
 
Wanajua kuchezea na media Hawa, wanagharibi Hata Osama nadhani alikua mtu wao kwasababu ndie aliyempa pesa huyu Jawlan za kuanzisha matawi ya alqaeda kabla ya kuingia ISIS na hii ya Sasa Al nusrah
Inasemekana Ossama alikuwa CIA agent!
 
Shida ni sisi waafrica kudhani Jews ni wazungu.

Uhalisia ni kwamba makabila 12 ya waisraeli asili yao ni watu wa Middle East,

Until recently kulikuwa na Jews mpaka Afghanistan, ndio maana rahisi kwao ku-infiltrate sehemu yoyote Middle East kwa sababu Jews halisi ni watu wa huko huko (sio waarabu waliohama) na kuzaliana huko wakabaki kutunza culture/idiology baadae wakawa wazungu na kurudi Israel.

Jews asili yao ni waarabu na msingi wa monotheistic religion ni waarabu (culture ya Jews na Islam) zun
zinafanana kushinda Christianity.

Sema mzungu ana mbinu za vita tu na kutengenisha watu. Vinginevyo Jew na Islam wamepishana kidogo sana jinsi wanavyoishi na tamaduni zao. Mbali kabisa na Christianity.

Ukikaa ukatulia utaona this is an ideological war more than anything, fuelled by western propaganda. Vinginevyo wenyewe walikuwa wanaishi kwa amani huko kabla ya Hitler.
 
Ule utulivu wa Wa Al-Jawlani kwa jicho la ndani unatoa tafsiri fulani kubwa sana.

CIA na Mossad ni back to back agents ambao malengo na operations zao ni nyingi sana.
Long term plan na short term plan zao ni hatari sana maana zina uwanja mpana na zinahisisha watu wa Kila aina kwa maslahi yao mapana.

Ni KGB/FSB anayeweza kupambana na hawa watu japo matatizo ya kiuchumi pia yameizoofisha Russia na taasisi zake nyeti.

Inawezekana malengo ya muda mrefu ya CIA na Mossad kwa Al-Jawlani yamejibu na kuleta matokeo chanya wakati muafaka ambapo Israeli alikuwa kitanzini dhidi ya Hizbollah na Iran, kama ni kweli basi hii itakuwa karata muhimu sana kwa mazayuni na USA na hasara kubwa sana kwa Iran, Hizbollah, Palestina, Syria nk. Tunasema the manipulation of middle east is going well.
It is going well indeed,kwa kuwa nia ni kusambaratisha Middle Eastern countries zote ili Israel kwanza ijipanue ki-ardhi,remember the Greater Israel concept


Nia pia ni ili Israel iwe the most powerful country in the Middle East.The Bigger Israel mipaka yake inategemewa kuanzia ya Euphrates River na kuishia Misri alongside the Nile River.

Ni hivii vita mashariki ya kati havitakoma mpaka ndoto ya Greater Israel ya Israel itimie.Cheki ramani ya Greater Israel kwenye link.
 
Mtakuja sana na theories zenu za kiallah, kumbe zimwi liwalao ni kitabu chenu wenyewe kimejaa chuki mpaka mnajigeuzia wenyewe. Haya sasa huko Afghanistan na Pakistan wote sunni na kusupoti islam siasa kali wamegeukiana wenyewe vita inaendelea. Hata mkiwamaliza watu wote akabaki muislam mmoja bado atapigana yeye mwenyewe kwa mwenyewe
View attachment 3187950
Aione FaizaFoxy 😀 😀
 
Ukifuatilia kwa umakini, utagundua vita vingi vilivyotokea kote dunia baada tu ya vita vya pili vya dunia kutamatika; utagundua chanzo ni Marekani au Israel mtoa roho za watu.
unaandika ujinga , ni kama unajitusi mwenyew kuwa huna akilI , kila kitu kinachotokea kwako ni ushawishi wa Marekani na sio matakwa yako
 
Kazi kweli kweli...

Au ndio maana amesalia kimya huku Israel akizidi kumega ardhi ya Syria?
ulitaka afanyej ? Ndo nyiny mliiponza Syria na Libya hlf mnataka tuwalaumu Marekabni , Kwasasa akiamua jambo lolote nje na amani bas Syria inaeza isitawalike milele , Ni bora apoteze sehem ndogo kuonesha hana shida na Israel na Sehem kubwa ya Syria ibakie na amani , Asad aliharibu na hana namna zaid ya kukubali amani kipind hiki hana uchumi wa jeshi imara kuendeleza vita , Huyo kiongoz ni timamu kuliko waislam wote ambao wanampush aikabiri Israel ili hali Athari zitaikumba Syria na hao wapiga domo hawataathirika na chochote maana wapo kwenye nchi zao zenye amani
 
Hawa Khazars huwa ni manipulators , kuna vitu vinatokea , wapumbavu wanakenua meno na kufurahia ,kumbe mazayuni ,puppets masters wako behind the scene wanaoperate agenda zao , doesn't make sense ufanye replacement ya Assad na hao vibaka ,hao vibaka ni worse na Ndio waliokuwa members WA Alqaida na ISIS , hao wananchi nao wapumbavu wakaamua kuungana na hao magaidi kureplace serikali , nikikumbuka ushenzi waliofanya Allepo hao Syria na wengi walikuwa mercenaries ,most likely funded by USA ,Israel na mataifa mengine ya kishenzi ,kuna proof ya kwamba walikuwa wanakuja kutibiwa Tel Aviv kipindi kile wanatengwa na Assad ,maana Assad aliwakaanga haswa bila huruma kipindi kile ,huku Hezbollah wakitoa ground support na Urusi air support ,washenzi wale wakapotea ,mpaka walivyoibuka hivi karibuni
Israel mtoa roho hawezi kuwapumzisha kobazi magaidi.

Yahudi yupo kila mahali hata msikitini kwako anawajua vzr tu.
 
Kuna tetesi kuwa kwa asilimia wamepachika vibaraka wa Kizayuni aka " crypto Jews " kwenye madaraka ya serikali nyingi za mataifa ya kiarabu na hivyo kuweza kufanikisha agenda zao ,maana si kawaida kabisa kwa hata huu mgawanyiko nab
undumila kuwili uliopo kati ya hayo mataifa huku hao washenzi walowezi wakiendeleza genocide hapo Palestine na uvamizi wa kishenzi maeneo mengine ya middle east .Naamini
"Greater Israel conspiracy ya hawa devil worshipers ni real na inafanya kazi "
Punguza makasiriko,alla ni mungu feki.
 
Kuna tetesi kuwa kwa asilimia wamepachika vibaraka wa Kizayuni aka " crypto Jews " kwenye madaraka ya serikali nyingi za mataifa ya kiarabu na hivyo kuweza kufanikisha agenda zao ,maana si kawaida kabisa kwa hata huu mgawanyiko nab
undumila kuwili uliopo kati ya hayo mataifa huku hao washenzi walowezi wakiendeleza genocide hapo Palestine na uvamizi wa kishenzi maeneo mengine ya middle east .Naamini
"Greater Israel conspiracy ya hawa devil worshipers ni real na inafanya kazi "
Brother, anachokifanya Israel ndicho kinachofanywa na Wanyarwanda. Washatumaliza. Wengi wameolewa na wanamuziki,wafanya biashara,walimu,majaji,wanasiasa,mapolisi,uhamiaji n.k Kwa jina la wahangaza wa Ngara. Kati ya majirani waliofanya penetration espionage ni Rwanda. Lengo lao kuu ni kudai baadae Ngara NI Rwanda. Mark my word, they have made a very good progress.
KILA siku tunajifariji Tu sisi NI miamba. Role model WA Rwanda DUNIANI NI myahudi. Kuna kipindi 2013, jamaa mmoja jeshini aligundulika NI WA huko. Wanyarwanda Kwa jina la Wahangaza wanamanipulate mambo mengi Sana nchini. Sasa Hivi wanawekeza kwenye mahoteli,maduka ya jumla,mabao,na maukumbi. We are done. Niko Lebanon but I know all shits happening there. Wana mpaka vikao vyao rasmi. Moshi,Dar,Mwanza,Bagamoyo, Arusha,NI WENGI KULIKO WANAOPATIKANA NGARA NA BIHARAMULO. HATA HUMU JAMII FORUM. NA WAKIJA WATASEMA TUNACHUKI NAO,KUMBE HILI NI SWALA LA KIUSALAMA.
Jiulize Israel ilichukua muda gani KUPANGA shambulizi la PAGERS NA WALK TALKIES? MOSSAD kuangusha ASSAD,? Uturuki inaenda kuanguka kabla ya Iran(naandika nacho kuijua. Nimekaa huku huu mwaka WA 27) New Political Order is coming in the middle East. Jordan mnajua iko chini ya Nani?
Kagame is dangerous na very keen towards implementing BAHIMA EMPIRE AGREEMENT. Hutaki kaulize Mtikila peponi!!!?
But who will tell,ITS TIME. Time never tell lies. Karbuni Beirut
 
Ule utulivu wa Wa Al-Jawlani kwa jicho la ndani unatoa tafsiri fulani kubwa sana.

CIA na Mossad ni back to back agents ambao malengo na operations zao ni nyingi sana.
Long term plan na short term plan zao ni hatari sana maana zina uwanja mpana na zinahisisha watu wa Kila aina kwa maslahi yao mapana.

Ni KGB/FSB anayeweza kupambana na hawa watu japo matatizo ya kiuchumi pia yameizoofisha Russia na taasisi zake nyeti.

Inawezekana malengo ya muda mrefu ya CIA na Mossad kwa Al-Jawlani yamejibu na kuleta matokeo chanya wakati muafaka ambapo Israeli alikuwa kitanzini dhidi ya Hizbollah na Iran, kama ni kweli basi hii itakuwa karata muhimu sana kwa mazayuni na USA na hasara kubwa sana kwa Iran, Hizbollah, Palestina, Syria nk. Tunasema the manipulation of middle east is going well.
Syria ni bomu la muda, subiri kidogo litalipuka
 
Brother, anachokifanya Israel ndicho kinachofanywa na Wanyarwanda. Washatumaliza. Wengi wameolewa na wanamuziki,wafanya biashara,walimu,majaji,wanasiasa,mapolisi,uhamiaji n.k Kwa jina la wahangaza wa Ngara. Kati ya majirani waliofanya penetration espionage ni Rwanda. Lengo lao kuu ni kudai baadae Ngara NI Rwanda. Mark my word, they have made a very good progress.
KILA siku tunajifariji Tu sisi NI miamba. Role model WA Rwanda DUNIANI NI myahudi. Kuna kipindi 2013, jamaa mmoja jeshini aligundulika NI WA huko. Wanyarwanda Kwa jina la Wahangaza wanamanipulate mambo mengi Sana nchini. Sasa Hivi wanawekeza kwenye mahoteli,maduka ya jumla,mabao,na maukumbi. We are done. Niko Lebanon but I know all shits happening there. Wana mpaka vikao vyao rasmi. Moshi,Dar,Mwanza,Bagamoyo, Arusha,NI WENGI KULIKO WANAOPATIKANA NGARA NA BIHARAMULO. HATA HUMU JAMII FORUM. NA WAKIJA WATASEMA TUNACHUKI NAO,KUMBE HILI NI SWALA LA KIUSALAMA.
Jiulize Israel ilichukua muda gani KUPANGA shambulizi la PAGERS NA WALK TALKIES? MOSSAD kuangusha ASSAD,? Uturuki inaenda kuanguka kabla ya Iran(naandika nacho kuijua. Nimekaa huku huu mwaka WA 27) New Political Order is coming in the middle East. Jordan mnajua iko chini ya Nani?
Kagame is dangerous na very keen towards implementing BAHIMA EMPIRE AGREEMENT. Hutaki kaulize Mtikila peponi!!!?
But who will tell,ITS TIME. Time never tell lies. Karbuni Beirut
Mbona tuvitisho twiingi huyo mnyarwanda wenu ataishia congo TU. Na huyo mzayuni hatoboi ajenda yake saivi Israel ni nchi yenye low security level watu wanaondoka wengine wanogopa kwenda sio safe Tena muda wowote nikukurupa Kwenye mahandaki huwezi Fanya anachotka kukifanya Israel Hata mrusi Kwa Dunia ya Leo ambayo mataifa mengi yame advance kivita hayo mambo yalikua enzi za ujima yalifanywa na watemi kina milambo,mkwawa etc
 
HAta uhamiaji wakikukamata hapa tz watakuuliza kijijini kwenu wapi ili wa trace origini yenu, ila kea ghailani ni kazuka tu maana yake ni pandikizi hana asili ya syria
Ni mtu wa milima ya Golan,hiyo jawlan ni kiarabu, romanized wanaandika Golan, possible kuwa mossad
 
Back
Top Bottom