cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 498
Kama hivyo nimeelewa hata mie nimekumiss saana na nilijua nitakupata mitaa hii saa hizi nikakaa macho,sasa huyu afrodenzi nimfanyeje sweety kanikaba sana au unakubali awe no. 2 ?
mmh mpenzi kuliko kukushare wewe na mtu mwingine sitaweza bora tu nijiengue ubaki naye yeye mie niwe shem wako!
roho atanipatia mume mwingine au ntajiua ili ujue ninavyokupenda!lol