cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 498
Kama hivyo nimeelewa hata mie nimekumiss saana na nilijua nitakupata mitaa hii saa hizi nikakaa macho,sasa huyu afrodenzi nimfanyeje sweety kanikaba sana au unakubali awe no. 2 ?
mmh mpenzi kuliko kukushare wewe na mtu mwingine sitaweza bora tu nijiengue ubaki naye yeye mie niwe shem wako!roho atanipatia mume mwingine au ntajiua ili ujue ninavyokupenda!lol
Hivi ni lazima tuwapende wavulana???:bump:
Kumbe unanipenda kama navokupenda ? sitaki mwingine nawe usikubali wakuwowe humu sawa ?
well well: Better still for you title: What Women want...
Jibu: "want" is relative...
Hivi ni lazima tuwapende wavulana???:bump:
cha msingi awe na bastola inayoshoot bila matatizo,
kama nimempenda hata kama sio smart naweza kumbadilisha taratibu.
hata hivyo nimejisemea tu, kusema kweli hata cjui ni nini napendaga kwa wanaume,mi huwa najikuta nishapenda tu!
Mbona unawasemea? Umejuaje hawajui wanachotaka mpaka wakionePone thing for sure..
women dont know what they want until when they see it......
it could be a rough guy who likes anal.
ha ha ha lol